Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,184
vyombo vya habari vimeshadadia wee mpaka sasa naona vimesanda. kila mwandishi alikuwa akijinasibu kivyake lakini wamechoka. wengine wakasema jana ndo tungejuwa nani ni nani na nani siyo nani, lakini wapi.
sasa nataka kujua, hili baraza 'jipya' la mawaziri linaandaliwa ghetto?
sasa nataka kujua, hili baraza 'jipya' la mawaziri linaandaliwa ghetto?