Baraza la Mawaziri la GHETTO

Baraza la Mawaziri la GHETTO

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
10,827
Reaction score
4,184
vyombo vya habari vimeshadadia wee mpaka sasa naona vimesanda. kila mwandishi alikuwa akijinasibu kivyake lakini wamechoka. wengine wakasema jana ndo tungejuwa nani ni nani na nani siyo nani, lakini wapi.

sasa nataka kujua, hili baraza 'jipya' la mawaziri linaandaliwa ghetto?
 
Sisi tunasubiri baraza la mawaziri la jamhuri ya muungano,na hatuna haraka hata kama ni miezi sita ijayo,ma naib waziri wapo,katibu mkuu na wakurugenzi tele,wewe subiri hao wako wa ghetto
 
Hana wa kuteua ili kukidhi BRN
 
Baraza la mawaziri litaletwa kwenu kwa hisani ya watu wa marekani
 
Kila pale washauri wakimwambia.. ..basi labda fulani atafaa wizara fulani yeye anasema, "ahhhh huyo ndio kabisaaaa simtaki hata kumsikia asije akaniharibia dakika za majeruhi" basi tena bandugu inabidi tuendelee kusubiri maana na msaidizi mkuu Shehe Yahaya naye ndio hivyo tena anamazungumzo ya faragha na Nyerere !
 
Ameamua libaki hivyo tu sababu muda ni mchache sana ulobakia kwa hiyo wizara zingine zitaongozwa na Manaibu WAZIRI tu mpaka mwisho wa DAHARI.Kuteua wenye njaa wengine ni kuwatwisha mzigo mzito sana zaidi hata ya huu waliojitwisha.
 
Tuna Pilot kuona kama je, tukipunguza iddi ya mawaziri kutakuwa na tatizo gani!!
 
Unamanisha Bwana Harusi Miraji ndio anaandaa kwa kushirikiana na lile kundi lake la wauni wa Refency ?

RIP Langa.
 
Sisi tunasubiri baraza la mawaziri la jamhuri ya muungano,na hatuna haraka hata kama ni miezi sita ijayo,ma naib waziri wapo,katibu mkuu na wakurugenzi tele,wewe subiri hao wako wa ghetto

hivi we ni ifweelo au lizaboni?
 
vyombo vya habari vimeshadadia wee mpaka sasa naona vimesanda. kila mwandishi alikuwa akijinasibu kivyake lakini wamechoka. wengine wakasema jana ndo tungejuwa nani ni nani na nani siyo nani, lakini wapi.

sasa nataka kujua, hili baraza 'jipya' la mawaziri linaandaliwa ghetto?


I wonder if Heaven got Ghetto...
 
Back
Top Bottom