Ni kweli kuna mtu mwingine anatumia cheti chake lakini hakumpa yeye kwa ridhaa yake alishaitwa kutoa maelezo na baraza wakampa barua kuonyesha kuwa ni Cheri chake halali
Uangalie moyo wako unakwambiaje! Mimi ninaishi na VVU na Mme wangu hana maambukizi lakini tunaishi kwa Amani tuligundua Nina maambukizi kipindi cha ujauzito. Baada ya kugundua mi nilitaka tutengane ili nisimuambukize lakini yeye alikataa ndoa ni ngumu maana ukweli mahaba yanapungua ni mnaishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.