Zahanati ya ZACI ambayo inajulikana kwa jina la Sabilo inasifika kwa huduma bora Mkoani Manyara. Sifa hizo zinaharibiwa na wahudumu wa Mapokezi ambao wanatoa lugha chafu kwa wagonjwa na kuwabagua kwa makabila yao au kufahamiana. Wahudumu hao ambao ambao wote ni kabila la Iraqw wakishasalimiwa saitaa basi mtu huyo atahudumiwa kwanza.
Wito kwa uongozi wa Sabilo, waelekezeni wahudumu wenu hasa mapokezi wahudumie bila upendeleo wala lugha chafu. Wawe wepesi kutoa huduma maana wanakuwa taratibu sana.
Wito kwa uongozi wa Sabilo, waelekezeni wahudumu wenu hasa mapokezi wahudumie bila upendeleo wala lugha chafu. Wawe wepesi kutoa huduma maana wanakuwa taratibu sana.