Recent content by neez

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kipo wapi...? Kudadadeki kuna Mtu anataka Kufa au Kuzika? Tumeshashika Adabu wenyewe!

    Hakuna sababu ya kukebehi watu kwa kutoandamana Leo. Tumuombe mungu hali iendelee kuwa shwari. Nchi ni yetu sote kikubwa tukae pamoja kumaliza kero zetu na tuendelee kujenga nchi yetu
  2. N

    JamiiForums Tanzania Hassan Abbas azuie udhalilishaji wa Waadizabe

    Dah hii ni kweli aisee kuna page ya insta kuhusu hadzabe binafsi sifurahishwi na post zao as zinalenga kuwadhalilisha ndugu zetu
  3. N

    JamiiForums Tanzania Polepole: Kuna mtu alikuja kuniambia kuwa kiongozi wa awamu ya 5 atakufa

    Halafu vingine vyote viandikwe kwa codes isipokuwa majina🤣🤣
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mh Polepole anawauliza hapa ni wapi?

    Nilichogundua huyu baba anatamani akamatwe ili apate kiki zaidi.. anajioma kama mpango wake wa kubwabwaja hauleti impact aliyoitegemea na mambo yanazidi kusonga sasa anajitokeza ili angalau amake headlines Dear Jamhuri polepole ni wa kupuuzwa wala asitafutwe aendelee na press zake huku siku...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Kikwete anamchango mkubwa sana kwenye anguko la January Makamba

    Tutakuwepo in sha allah
  6. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wanakuwa na backup ya mwanaume akilini mwao kama mahusiano au ndoa zao zitafeli

    Dah, halafu kuna mimi sasa... Nipo single singlet, singular
  7. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchengerwa: Tutamuomba Rais Rufiji iwe Mkoa

    Malinyi na morogoro mapafahamu mkuu
  8. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchengerwa: Tutamuomba Rais Rufiji iwe Mkoa

    Ila kiukweli mkoa waPeani ugawanywe tu, hivi mkazi wa rufiji akiwa na shida ya kwenda ofisi za mkoa anasafiri umbali gani
  9. N

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni kujua zaidi kuhusu mti wa mjohoro (cassia siamea)

    Ina kimvuli kizuti lakini jiandae nakufagia maua na hayo majani unfortunately maua hupukutika msimu wa mvua. Pia mti huu una pendwa sana na wadudu sisimizi wakubwa hivi weusi na wale ants wakubwa. Maua yake wala majani havitoi harufu kali ipo moderate tu na hadi uyasogelee sana ndo utasikia...
  10. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

    Umefanya vizuri sana kurudisha muamala, hata ningekuwa mimi ningerudisha hivyohivyo
  11. N

    JamiiForums Tanzania Kikwete aliongoza kikao hiki kama nani?

    Hapa kikwete aliombwa ushauri kama mzee wa chama ambapo aliulizwa kupitisha jina kwa siku hiyo ilikuwa sawa? Ndo hapo akakumbushia 2005 jinsi alivyoteuliwa yeye
  12. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aomba talaka kisa kapata kazi

    Hivi mtu ahangaike kusoma miaka 17+ halafu umkateze kufanya kazi? Ukimkuta mwanamke amesoma kubalianeni kuhusu mambo ya ajira mapema kabla ya kuoana. Vinginevyo hata mimi ningechagua kazi over hiyo ndoa +utakuwa ulikuwa unamnyanyasa. Kama hutaki mke atakayeajiriwa chagua ambao hawajasoma
  13. N

    JamiiForums Tanzania Naondoka Bungeni bila Mume wangu, Naondoka na Aibu na Mikopo ya kutisha

    Kama umeelewa vizuri ni kwamba jamii inampachika mwanamke mzigo wa usaliti na kumuona mwanaume kama shujaaa.
Back
Top Bottom