Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 5,181
- 17,654
Mtia Nia ya Ubunge wa Jimbo la Rufiji, Mohamed Omary Mchengerwa ambaye ndiye Mbunge anayemaliza muda wake, akinadi sera zake mbele ya wajumbe na kuomba kura kwa wajumbe wa Chama cha Mapinduzi Kata ya Mbwara iliyopo katika Jimbo hilo lililopo Mkoa wa Pwani, ameeleza kuwa kutokana na Maendeleo yaliyopatikana wilayani hapo atapeleka Ombi Halmashauri hiyo kuwa Mkoa.