Recent content by Neema Jonathan

  1. N

    Mama mkwe ananing'angania

    Jiheshimu kijana! Kama umeamua kuachana na mpenzi wako wa kwanza kata hata mawasiliano na hao wazazi maana watakuja kukufanyia hata maarifa ili uwe na mdogo mtu kwa ajili ya pesa tuu na sio mapenzi. Achana nao.
  2. N

    Ninamtafuta Richard Mushi

    Nadhani ingekuwa jambo la busara kama ungeenda Chibuku ukaomba kuonana na afisa mahusiano akupe walau email yake tuu kipindi yuko hapo inawezekana ikawa nipahal pakuanzia. Ila ujipange sawasawa kujibu maswali maana inaweza kuwa viu pia kutoa awani za watu siunajua mjini matapeli wengi
  3. N

    Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

    Usitudanganye kuwa ni mkeo wakati ni wewe mwenyewe unajifanya mkeo ili utusikie tutasemaje. Muheshimu mkeo.
  4. N

    Nimeshindwa kabisa kumwelewa huyu dada

    Be careful ndugu asije akawa anakwenda kusema kwa huyo boss unachomshauri. Afterall 35 years ni mtu mzima kabisa akuheshimu na mwambie atumie akili zake mwenyewe. Miaka yote huko nyuma alikuwa anaseek advice kwa nani?
  5. N

    Tupe uzoefu wako!!!!

    Huu ni ukatili wa hali ya juu na huyo mwanaume ni muuaji asijifanye na hizo zawadi zake kumdanganya mkewe amuone kuwa ni mtu mzuri sana. Kama alishindwa kununua ubuyu hizo zingine analeta kwa mapenzi yepi? Achukuliwe hatua huyo kwani criminal offences has no limitation of time.
  6. N

    Baba mkwe kanisakizia mzigo!!!

    Kweli baba mkwe alitoka outing akaamua kuwa huru mpaka kwene mazungumzo. Alikuwa huru tuu kwako wala usimuelewe vibaya.
  7. N

    Christian bookshop at dar

    Kuna Christian bookshop nyingine nzuri tuu na inavitabu vingi vya waandishi wakongwe na wapya iko Survey mbele kidogo na apartments za mlimani city inaitwa CTC kama sijakosea. Ni maduka mapya kiasi yanapakana na njia ya kwenda Brajecks
  8. N

    Ndoa ni lazima kupata watoto? Najiuliza sana.

    Watoto ni majaliwa na Mungu ndie anayetoa. Kama hupati mtoto na unajua kabisa hujawai kutoa mimba upashwi kuwa na mashaka sana na maangaiko yakutoka nje ya ndoa maana unaweza kuja kupata mtoto ndani ya ndoa baadae. Na kwawanaume muwe tayari pia kuwa bennet na wake zenu kwaajili ya matibabu maana...
  9. N

    Majanga, anajenga jirani na nyumba ndogo bila kujua

    Kama huyo nyumba ndogo amepanga amuhamishe kama anapenda ndoa yake. Ni lazima italeta shida tuu kwene ndoa yake atake asitake.
  10. N

    Tanzania photos (Tanzania's wildlife and natural beauty)

    by the way camera yako ni yaaina gani? Iko nzuri hatari lkn na wewe mpigaji upo juu. Keep it up and God bless u always uendelee kutupa burudani.
  11. N

    Tanzania photos (Tanzania's wildlife and natural beauty)

    Ndugu! Mungu akubariki sana yaani umeipendezesha siku yangu kuliko ambavyo ungetegemea. Picha ni nzuri sana na Mungu hakika ametubariki Tanzania tuna rasilimali nzuri sana. Ahsante sana tuwekee picha zaidi tufurahi zaidi.
  12. N

    Nimelazimika Kutembea Na Mume Wa Mtu! Sina Jinsi! Kama Mumeo Ungenilaumu Kweli!

    Utapona mguu utaanza kutibu UKIMWI ndio macho yatakutoka sawasawa.
  13. N

    Waraka kwako Abiria wangu (Binti) ninaekupaga Lifti asubuhi!!

    Na wewe nawe kwani ni lazima kumpa lifti? Kinachokupeleka getini kwake asubui asubui ni nini kama na wewe sio unaendekeza kumpa lifti? Umeshalea matatizo tokea mwanzo ni bora umuambie samahani naona sitoweza kukupa lifti tena nina ratiba za kifamilia.
  14. N

    Ndo yanayotokea kwenye ndoa zote jamani?

    Pole sana dada! Huyo anauhusiano mpya kabisaa na amechanganyikiwa. Kuwa mpole na chamuhimu kusali maana hali hiyo siyo njema mpaka analitamka wazi hivyo. Mungu yupo mwenye nguvu na mamlaka anauwezo wa kila jambo hata kugeuza usemi wake na kurudia ndoa yake.
  15. N

    Hii inshu ni yakweli au natapeliwa???

    ogopa matapeli nyumba hii haiuzwi......yaani wewe usikubali kutapeliwa kaka.
Back
Top Bottom