Recent content by nearest friend

  1. N

    Usajili wa Morison aibu kwa mpira wa Tanzania

    Umesahau kamboleeeee
  2. N

    NBS mchakato wa Sensa unaendeshwa kisirisiri au Mmeamua kuwadanganya Wahariri?

    Wakiharibu kazi vimeo vyao wanawakambilia walimu,
  3. N

    SUGU adai yeye ndiye muasisi wa Bongofleva

    Na huyu ndio alitoa albam ya kwanza ya rap kabla ya kina sugu ilikuwa na nyimbo sita kabla redio one haija anzishwa tulipiga donee tukainunua pale lang'ata ilikuwa inauzwa 600,dah kitambo sana
  4. N

    Mbunge wa Arusha Mjini, kikao kijacho cha Bunge usisahau kufuatilia kiwanda cha General Tyre

    walikiamishia kenya kina late kigoda ,mkapa na kina shalukhan
  5. N

    Hongereni GSM kwa kuweza kuwanunua Simba match ya leo

    GSM kamuonga hata MO ?duu ww kapimwe mkojo
  6. N

    Tutawalaumu bure wachezaji Simba

    wachezaji wazee sana ww kama kocha utamfundisha nn nyoni,onyango,kagere
  7. N

    Ushirikina umeanza uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, Makomandoo Simba na Yanga waumizana

    simba mlikuwa na mechi kirumba tuanzie hapo
Back
Top Bottom