Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,732
- 10,813
Popote wajenge kiwanda,mradi TanzaniaKiwanda cha matairi kijengwe KIGOMA na IRINGA
Popote wajenge kiwanda,mradi TanzaniaKiwanda cha matairi kijengwe KIGOMA na IRINGA
NakazaNakazia
Bado kikao cha bunge hakijafika umkumbushe mbunge wako?Kiwanda cha kutengeneza matairi cha General Tyre kiliwahi kuwa na mchango mkubwa sana katika uchumi wa mkoa wa Arusha na Taifa kwa ujumla.
Kili generate ajira nyingi za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja.
Shughuli za kiuchumi zilichangamka kiasi chake.
Baada ya kusimamishwa shughuli zake mkoa umepata pigo kwa kweli kwani shughuli za kitalii nazo ni za msimu.
Namkumbusha tu mbunge wa Arusha mjini , akifika bungeni kikao kijacho asiache kuulizia serikali kuhusiana na kukifufua kiwanda hiki.
Wakifufue kwa mitambo ipiMambo bado aisee.
Ila tutatoboa tu.
Tatizo ya nchi hii tunawakombatia sana importers,kwenye bidhaa zaoMambo bado aisee.
Ila tutatoboa tu.
walikiamishia kenya kina late kigoda ,mkapa na kina shalukhanKiwanda cha kutengeneza matairi cha General Tyre kiliwahi kuwa na mchango mkubwa sana katika uchumi wa mkoa wa Arusha na Taifa kwa ujumla.
Kili generate ajira nyingi za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja.
Shughuli za kiuchumi zilichangamka kiasi chake.
Baada ya kusimamishwa shughuli zake mkoa umepata pigo kwa kweli kwani shughuli za kitalii nazo ni za msimu.
Namkumbusha tu mbunge wa Arusha mjini , akifika bungeni kikao kijacho asiache kuulizia serikali kuhusiana na kukifufua kiwanda hiki.
Gambo hata huko Muriet kwa wanyonge amehama kahamia kwa makabaila wenzake Njiro. ....hakuna jinsi mtatoboaMambo bado aisee.
Ila tutatoboa tu.
Hicho kiwanda kitarudi tu kwa uwezo wa Mungu.Gambo hata huko Muriet kwa wanyonge amehama kahamia kwa makabaila wenzake Njiro. ....hakuna jinsi mtatoboa
Labda kiuzwe kwa bwanyenye. Hii serikali haina uwezo wa kukifufua.Hicho kiwanda kitarudi tu kwa uwezo wa Mungu.
Ila bado hata huko njiro ni ndani ya jimbo lake.
Ingawa ni kwa makabaila na mabwanyeye.
Arusha tunaonewa sana kwakua sasahivi hatuna kiongozi mwenye ushawishi wa kisiasa kama hapo zamani.Labda kiuzwe kwa bwanyenye. Hii serikali haina uwezo wa kukifufua.
Wambie viongozi wa Arusha wajengw barabara za lami. Jiji lote halina lami mitaani zaidi ya hapo mjini kati! Hata Moshi imewaacha mbali sana kwenye ujenzi wa barabara
Nani alikuwa na ushawishi hapo zamani? Lowasa? Au Sumaye?Arusha tunaonewa sana kwakua sasahivi hatuna kiongozi mwenye ushawishi wa kisiasa kama hapo zamani.