NBS mchakato wa Sensa unaendeshwa kisirisiri au Mmeamua kuwadanganya Wahariri?

KASULI

JF-Expert Member
Aug 6, 2020
599
669
Wadau kama mnakukumbuka mpaka tarehe 9 May, NBS kwa kushirikiana na wadau wengine walikuwa wanaendesha Zoezi la maombi ya Ukarani, uafisa TEHAMA na Uafisa Maudhui ambao watashiriki Zoezi la Kuhesabisha Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2022.

Kwenye barua ya Tangazo walisema wanahitaji watu 205000....

Sasa katika kile kinacholeta mshangao AZAM TV wameripoti taarifa ambayo inaonesha zoezi la kuwapa semina Makarani tayari limefanyika. Azam wamemnukuu Ofisi ya Takwimu ikitoa maelezo namna Sensa itafnyika kwa kutumia Vishikwambi (Tablets) na ofisi hiyo ikisisitiza kuwa makarani wa Sensa wamepatiaa mafunzo namna ya kutumia Vishikwambi.

Maswali yangu...
1. Semina au mafunzo kwa ajili ya makarani zimefanyika lini na wapi?
2. Majina ya walioteuliwa miongoni mwa walioomba yametolewa lini na NBS..?
3. Je, hili zoezi linaendeshwa kwa usiri au Ofisi ya Takwimu imeamua kuwaongopea Watanzania??

Naomba niweke kiambatanisho Kuthibitisha taarifaa hiii.....

Naomba kuwasilisha.....

Screenshot_20220619-134831_Lite.jpg
 
Huenda ni makosa mkuu.

Hawa waandishi sio wavaa viatu wa hizo habari wanazoripoti. Huyo mwandishi labda hakufuatilia hilo zoezi linaendaje, hajui tamati yake, so ajabu hata siku ya sensa haijui ni vile tu fursa ya habari ipo kwake.

Lakini tusubiri japo sidhani kama seeikali inaweza fanya ujuha wa namna hiyo hata kama haiko makini kiasi gani.
 
"future present tense". Kwa wenye mtazamo sawa na wako inabidi kuzifikirisha bongo zenu. Tatizo tunabaki kulalamika bila kufikiri. Juzi tu hapa uliona wanatoa taarifa ni ya kina nani wanapewa mafunzo huko Iringa na yataisha lini, leo unakuja na mada zisizo na kichwa wala miguu. Tuna safari ndefu sana ya kujikwamua kifikra
Ungepunguza ujuaje, kwamba mimi sijui kutofautisha kati ya....
"TUMEWAFANYIA" na "TUTAWAFANYI"
 
Wadau kama mnakukumbuka mpaka tarehe 9 May, NBS kwa kushirikiana na wadau wengine walikuwa wanaendesha Zoezi la maombi ya Ukarani, uafisa TEHAMA na Uafisa Maudhui ambao watashiriki Zoezi la Kuhesabisha Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2022.

Kwenye barua ya Tangazo walisema wanahitaji watu 205000....

Sasa katika kile kinacholeta mshangao AZAM TV wameripoti taarifa ambayo inaonesha zoezi la kuwapa semina Makarani tayari limefanyika. Azam wamemnukuu Ofisi ya Takwimu ikitoa maelezo namna Sensa itafnyika kwa kutumia Vishikwambi (Tablets) na ofisi hiyo ikisisitiza kuwa makarani wa Sensa wamepatiaa mafunzo namna ya kutumia Vishikwambi.

Maswali yangu...
1. Semina au mafunzo kwa ajili ya makarani zimefanyika lini na wapi?
2. Majina ya walioteuliwa miongoni mwa walioomba yametolewa lini na NBS..?
3. Je, hili zoezi linaendeshwa kwa usiri au Ofisi ya Takwimu imeamua kuwaongopea Watanzania??

Naomba niweke kiambatanisho Kuthibitisha taarifaa hiii.....

Naomba kuwasilisha.....

View attachment 2265650
Hao ni wa ngazi ya Taifa Mkuu, na ndio watakaoenda mikoani na wilayani kutoa mwongozo walioupata.
 
Yaaan NBS hapo wasituletee biashara za kiini macho ...yaan wajue izo nafasi tumezikodolea macho na tunazisubiri kwa hamu na gamuuu hayo matokeo yao watakayo yatoa ...yawe clean watuambie mchujo ulikuwaje kuwapata selectees
 
"future present tense". Kwa wenye mtazamo sawa na wako inabidi kuzifikirisha bongo zenu. Tatizo tunabaki kulalamika bila kufikiri. Juzi tu hapa uliona wanatoa taarifa ni ya kina nani wanapewa mafunzo huko Iringa na yataisha lini, leo unakuja na mada zisizo na kichwa wala miguu. Tuna safari ndefu sana ya kujikwamua kifikra
Umeshindwa kuelezea kistaarabu bila kudogodesha wenzio? Kwan kosa la nani. Kwamba wewe ndo bright sana au..?
 
Back
Top Bottom