Recent content by Ndumila44

  1. Ndumila44

    Tatizo lolote la PC/device

    Ipo Hp probook 650 Graphics memory 4Gb Ram 8 hdd 500 Bei 670000 Batery inakaa na chaji 4hrs
  2. Ndumila44

    Chuo cha "Aviation" Air Tanzania

    Kwa sasa vituo vya QT ni vingi sana hasa kama upo Dar unaweza ukatafuta shule nzuri tuu ukaomba taratibu za kujiandikisha then usome miaka miwili ufanye mtihan wa kidato cha nne.. Na kwa kuwa una nia natumain utafaulu vyema tuu Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
  3. Ndumila44

    Chuo cha "Aviation" Air Tanzania

    Kwa kuwa una malengo na nia unayo usikatishwe tamaa mapema na watu hasa huku jf. Pia ile kazi kama ukiwa na vigezo ambavyo wanataka utapata. Kwa hiyo ushauri wangu jaribu kusoma QT then upate cheti cha 4m 4 alafu uende NIT kwa sababu ile koz haichukui muda mrefu sana..So miaka mi3 itakutosha...
  4. Ndumila44

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mwenye nyimbo kali zile za club ( Club bangers) Atupie hapa bas wakuu
  5. Ndumila44

    Nahama voda rasmi....

    Hiv vifurushi vipo menu gan mkuu
  6. Ndumila44

    Fursa sandals za ngozi au za kimasai

    Unapatikana dar maeneo gan na pia unauzaje kwa wanunuzi wa jumla?
  7. Ndumila44

    Nimemchoma mke wa mpangaji mwenzangu kwa mumewe

    Hongera mkuu kwa utunzi wako mzuri . Unajua kucheza na maneno ila jitahidi utamkuta shigongo
  8. Ndumila44

    Kauli gani mbaya ulizowahi kutolewa na watumishi au wahudumu wa sehemu fulani?

    polee mkuu ila kuna mazingira mengine inakubidi tuu uwe mpole upate unachotaka kwa maana kuna baadhi ya watoa huduma huwa wanajisahau sana nao pia kuwa kuna leo na kesho yao
  9. Ndumila44

    Vitu gani vinavyokuzuia wewe kupata mafanikio /kuzidi kuendelea!?

    Ndio ujitahid kupunguza mkuu maana kuacha kabisa hutoweza
  10. Ndumila44

    Vitu gani vinavyokuzuia wewe kupata mafanikio /kuzidi kuendelea!?

    Habari zenu wakuu. Matumaini yangu mnaendelea vyema na shughuli zenu za kila siku dhidi ya kuepuka umasikini . Kama tunavyojua katika kupata mafanikio kuna mambo mengi tunayopitia ambayo tunayaita changamoto. Hata hivyo kuna msemo unasema "HUWEZI KUFANIKIWA /KUENDELEA BILA KUEPUKA AU KUACHA...
  11. Ndumila44

    Pc yangu haipunguzi mwanga

    Hapo kuna driver zimemis hata mm nlishapataga tatizo kama hilo
Back
Top Bottom