Nahama voda rasmi....

Nahama voda rasmi....

advantage ya voda bundle linajiaccumulate
yani usimaliza ndani ya muda ,unanunua tena kabla
halijaisha, ttcl wao mpaka mda usihe ila wako cheap
sana ukilinganisha na hao mabwege wengine
TIGO sikushauri kukupa mb50 kwa elfu tano
hawaoni aibh yani paap
Nyie ni tiGO gani mnayoizungumzia?? Au hamjui kuunga vifurushi?? Sioni mtandao rahisi kama tiGO! Kuna hadi kifurushi za MB za bure kabisa! Kuna watu mnaumia kwa kutojua hata menu za vifurushi
Screenshot_20180927-000233.jpeg
Screenshot_20180927-000212.jpeg
 
Bora voda Fanya utafit mabando mengine uisha fast a voda 1gb unaweza taxama series ya jumungo seasom1yote but sio halotell
 
Back
Top Bottom