Recent content by Ndoxity

  1. Ndoxity

    Advice how the Republic of Tanzania can terminate all exploitative contracts

    Your opinions are justified,congratulations for providing good ideas but I guess there is something more than what you have suggested,and I think is not easy to end it just simple like that
  2. Ndoxity

    Tathmini ya gharama ya John Pombe Magufuli Safari Kigali Kwenda na Kurudi

    Gharama za kumsafirisha raisi ambaye ndiye nchi yenyewe ni kubwa mno we mtoa post kama hujui Hiyo kama angekuwa Vasco angetumia si chini ya bil 4 kwenda juu ndo maana magu kazipunguza hizo safari zisizokuwa na tija kwa taifa
  3. Ndoxity

    Naomba ziara ya kwanza ya rais wetu mpendwa ya nje ianzie Rwanda na si Ulaya

    Shida sio kwenda kuchukua zile element za udikteta za mugabe mtazamo uliopo ni kujifunza zaid kuifanya nchi yako iweze kujitegemea yenyewe pasipo kuingiliwa na watu weupe ama kuomba ombaomba
  4. Ndoxity

    Alama ya jicho moja kiashiria cha shetani

    Halafu nyie mnayapata wapi au mwayajuaje yaan
  5. Ndoxity

    Mbinu mpya ya kula rushwa kwa trafiki

    Mambo bado sanaaaa!Tanzania na rushwaa
  6. Ndoxity

    Historia ya Adolf Hitler, kuzaliwa kwake mpaka kifo chake

    If you can state the difference between them it's much better to stop calling him(Hitler) a kindergarten
  7. Ndoxity

    Mitandao ya simu ya Tanzania na siri zao, jionee mwenyewe

    Mkuu nadhani spidi ya mtandao inaendana na eneo utakalokuwa lakin by my experience vodagooo wako poa Sana kwa mwanza labda na maeneo mengine
  8. Ndoxity

    Alichosema Dyran Kerr baada ya kutimuliwa Simba

    Kuna kitu zaid naimani wanafahamiana wao kwa wao coz sioni sababu ya kumtimua MTU ghafula hivyo hata mambele mambo hayoko kihivyo kama kushinda ama kushindwa yote heri ukitaka uwe wewe mshindi tu kila siku then utakuwa unashindana na nan sasa?
  9. Ndoxity

    Jakaya Kikwete is 2015 African Statesman of the Year

    Hahahaaaa umetisha mkuu
  10. Ndoxity

    Ni Dr au ni Prof. Joyce Ndalichako?

    Ni dokta sio profesa
  11. Ndoxity

    “Adolf Hitler is Donald Trump’s grandfather”– Mugabe puts Trump in his place

    Mugabe cjui ni nini but jamaa yupo overconfident
  12. Ndoxity

    Mapendekezo kwa Serikali: Jinsi ya kuimarisha shilingi ya Tanzania

    Hujakosea mkuu kweli kama suala la biashara za ndani na nje ya nchi likizingatiwa kwa kiasi fulan hela yetu itapata thamani
Back
Top Bottom