Archana na bakhresa,huku pwani kuna kiwanda cha sabuni kinaitwa ked's kinazalishasabuni za doffi na kleesoft vibarua wanalipwa na wakala aliyeingia ubia na kampuni hii ....sasa utakuta wakala analipwa sh 12,000 kwa Kila kibarua Ila yeye analipa sh 8000 kwa Kila kibarua ...
Wanateswa Sana...
Habarini wakuu, naamini tunaendelea vizuri katika harakati za kujenga taifa, niseme kazi iendelee.
Baada ya kutimiza malengo yangu ya mwaka huu ndani ya robo tatu muhula wa mwaka (kuanzia mwezi wa 1 hadi wa 9), nimeamua kuchukua muda huu uliyobaki kuangalia jinsi ya kutimiza ndoto moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.