Tangu ninakua nimekuwa nikisikia kauli za wanawake hawapendani, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie, je, ni kweli wanawake hawapendani au ni nadharia tu ilitengenezwa kuwagawa wanawake wasiaminiane kuwa hakuna anayempenda mwingine?
Nauliza hivi kwa kuwa msemo huo umekuwa ukisikika zaidi...
Kwanza nianze kwa kuwapa maua yenu Jamiicheck, binafsi nawakubali sana kazi yenu. Big up sana sana.
Twende kwenye mada.
Naona kuna Picha za wachezaji wa kike wakiwa wanaweka mpira ndani ya jezi tumboni, baadhi ya watu wanasema hiyo ni kampeni ya kuvitaka vilabu wasiachane na wachezaji wao...
Nami naenda kuongeza idadi ya wanachama hewa, kwanza nakichukia basi tu nitaichukua kadi kisha nitakuwa naitunza nje kwenye banda la mbwa ndani kwangu haingii maana ni kama naweka mkosi tu ila sina namna
Mimi sina kadi ya chama chochote ila nawaza kutafuta kadi ya chama kile kikongwe, sio kwamba nakipenda ila nalazimika maana marafiki zangu hawasumbuliwi kwenye biashara zao kisa wana kadi hiyo hata wao walitafuta kwa ajili ya ulinzi tu wa biashara
Tulikuwa kwenye viti virefu wakanikutanisha na...
TANESCO, Huu ndio umeme mmeona leo mtulee watu wa Mbezi mwisho kweli, hivi mna nini nyie? Hapo ukute kwenye ripoti zenu mmejaza Mbezi wana umeme ndio huu? Sisi tutaufanyia nini iwapo hata taa tu inasumbuka kiasi hiki?
Au mnalengo la kutuunguzia vitu, maana ukitulia dk 5 unaaanza kwa spidi a...
Kama swali linavyouliza, ni kitu gani kimefanywa au hakikufanywa na Serikali iiliyoko madarakani ambacho kinakushawishi kuichagua au kutokuichagua tena?
Tukiwa tunakaribia uchaguzi wa serikali za Mitaa utakaofanyika mwaka huu 2024 na uchaguzi wa Serikali Kuu utakaofanyika 2025
Natumai kila...
Naam ujinga wa Watanzania na hasa walio vijijini na ambao hawana fursa ya mtandao ndio mtaji mkubwa wa CCM.
Watu wa vijijini wengi na baadhi ya walio mijini ambao hawana mtandao hawapati taarifa sahihi kwa wakati na wakati mwingine hupata taarifa za uongo au kilaghai zilizochujwa na vyombo...
Nimekuwa nikisikia story kuwa mgunduzi wa treni ya kwanza alikiwa mtanzania.
Na baada ya ugunduzi huo Wazungu (nasikia ni Wajerumani sina hakika wa hilo) kuwa walimuua na wao wakachukua huo ujuzi na kufanya kuwa yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.