Heshima kwenu wanajamvi.Jamani naomba msaada wenu mimi ni binti wa miaka 23
yapata wiki ya pili ss napata usingizi kwa shida sana na sielewi tatizo ni nini naomba msaada wenu jamani.Ahsanteni
Huyu anakonda pumbafu. Hivi mtu anadharau laki3 kwa siku na kila kona watumishi wanalia? wengi hawajaenda Dodoma kutunga katiba wameenda kuitia hasara serikali.
Kwa research yangu ndogo.
kati ya me na ke wanaokufa sana ni wanaume na chanzo ni lifestyle yao ikichangiwa na vitu kama cheating na nyumba ndogo
magonjwa kama bp.stroke na cancer hayana visababishi vya kibiologia kama virus na bacteria chanzo chake kikuu ni human behavior ,lifestyle na social...
Haaa naona hujasikia hii.yaani sasa ivi ke na me wakiwa na uhusiano ambao unatambulika hata kama si kisheria au kidini ukimnyanyasa mpenzi wako akakushitaki unahukumiwa tena 3 days without a bill then ndo mambo ya kufungua jarada yanaanza so iktokea umempa ujauzito bnti ukakimbia labda uyo bint...
shame on you men who cheat on your wives and God will punishi you nyumba ndogo.wew kama mwanamke kweli kwa nini usitafute mumeo umfanyie hayo unayofanya kwa waume za watu na kwa nin ukuolewa?mfyuuuuu pub***c toilets
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.