mji wa moshi ni kama gaza umebarikiwa toka zaman na ukitaka kuamini waulize wapare waliokuwa wanaupigania zaman hizo tukawatoa nduki mpaka hapo jangwani same.
ubadilike uende wapi mji ulishakuwa tangu zamani na nyumba kali zipo tangu kipindi hicho unashangaa miji mingine inakuwa kwa sababu hivyo vitu havikuwepo hiyo zamani ndo vinaibukia
mnajua kuandika na kusoma noti bandia hamjuhi gavana alipoteza muda wake wiki nzima kuelekeza umma note bandia na halali au nyie mlikuwa mnakunywa keroro mda huo. mbona vitoto vya kichaga hata cha miaka minne kinajua original na feki.
jiarini acheni kuwanga nyie, mtaitisha conference na ela hamna mnategemea nini mtembee na miguu mpaka conference hall, kikubwa nikila mtu kwa nafasi yake aangalie ni tawezaje kujiajiri na kutoka kama mimi. sio kusubiri ajira
sasa we jamaa unakuwa kama ujasoma ratio pr school ukiangalia ratio ya muda wa kuanza operation na no of customers bado lapf ni iko juu maana imechelewa kuanza lakini speed yake ni kubwa ktk ukuaji hivyo tumia statistic vizuri kuargue.
ninaomba kujua msanni anapopata ile tuzo anapewa na fedha kiasi gani kinacholingana na ile tu maana usije kuta mtu anachekelea kapata tuzo saba wakati zote atapewa laki saba. naomba kujuzwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.