shortlisted1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2014
- 352
- 128
huwezi bishana na hii kitu..labda kama hujawahi kufanya kazi kwenye maofisi.
Halafu unajiona akili zako zina akili sana!
Inatokea but not always. Rushwa ya ngono imekuwepo toka enzi na enzi, so its not a new thing. Tusi genaralize mambo. Wengi wao wanaoliwa wanatafuta kazi wakiwa wameshika chupi mkononi. Namaanisha wanataka wao kutoa rushwa ya ngono. The same applies kwa wanafunzi wa vyuo. Unamwambia lecture please im ready for anything ilimradi ni pass somo hili. What do you expect, ukikataa matakwa yake anaanza kutangaza eti ulikuwa una mtaka akakunyima ndo umemfelisha.
kuna kipindi zilitoka nafasi za kwenda kusoma ofisini kwetu, nafasi 2, ila kada tofauti. Kwa kida ninayoiongoza kuna possible three candidates. Wawili wanawake na mmoja mwanaume, nafasi moja. Nilishangaa these ladies kila mmoja alitaka anishawishi kwa K ili nimpe nafasi, ingawa siyo direct lakini mtu mzima unajua pale binti anapokuwa anataka kukutega. So nilichofanya, nilimuoomba boss wangu akubali tuombe chuo kimoja wapo wawafanyie usahili wa mtihani ili kuondoa maneno. Mwanaume alifaulu akaenda zake.so in most cases wanawake wenyewe ndo wanakuwa wanataka kutumia advantage za papuchi zao kufanikiwa kwenye lile wanalolitaka.
kwanini umeondoa utabibu naualimu?Asalaaaaam kwenu nyoteee. Leo nakuja na hoja ndogo ila kubwa.
Inaaminika kuwa Mabinti wengi waliomaliza chuo hupata kazi baada ya kuliwa uroda na waajiri hasa hasa wa sekta binafsi. ( fani za utabibu na ualimu hazihusiki hapa)
Nani mwenye Imani tofauti na hii?
Walimu wanapotaka kupangiwa kituo kilichopo mjini na kukwepa kutupwa porini huwa wanajeruhiwa pia
Hapa ofisini kwetu kuna vibinti vilikuwa intern kwa karibu mwaka,viliposikia kuna nafasi 2 za ajira tulishangaa kuona vinajirahisi kwa manager ambaye ni mngoni. Kisichana kimoja ni kiarabu koko basi jamaa alivigegeda chap chap bila shida ili avipendekeze viajiriwe,hii ni nouma sana.
ha ha ha ndugu yangu umenifurahisha sana ameongea kwa kujiamini sana, jamani acheni kusingizia watu maovu ikiwa hamna ushahidi wa kutosha au labda aliwachungulia dirishani mwenzetu.Ulikuwepo siku ya tukio?
inatokea but not always. Rushwa ya ngono imekuwepo toka enzi na enzi, so its not a new thing. Tusi genaralize mambo. Wengi wao wanaoliwa wanatafuta kazi wakiwa wameshika chupi mkononi. Namaanisha wanataka wao kutoa rushwa ya ngono. The same applies kwa wanafunzi wa vyuo. Unamwambia lecture please im ready for anything ilimradi ni pass somo hili. What do you expect, ukikataa matakwa yake anaanza kutangaza eti ulikuwa una mtaka akakunyima ndo umemfelisha.
Kuna kipindi zilitoka nafasi za kwenda kusoma ofisini kwetu, nafasi 2, ila kada tofauti. Kwa kida ninayoiongoza kuna possible three candidates. Wawili wanawake na mmoja mwanaume, nafasi moja. Nilishangaa these ladies kila mmoja alitaka anishawishi kwa k ili nimpe nafasi, ingawa siyo direct lakini mtu mzima unajua pale binti anapokuwa anataka kukutega. So nilichofanya, nilimuoomba boss wangu akubali tuombe chuo kimoja wapo wawafanyie usahili wa mtihani ili kuondoa maneno. Mwanaume alifaulu akaenda zake.so in most cases wanawake wenyewe ndo wanakuwa wanataka kutumia advantage za papuchi zao kufanikiwa kwenye lile wanalolitaka.