Jobless-Graduates Association Press conference

Jobless-Graduates Association Press conference

tutakaribia maana kwa idea kama hii ikitekelezwa bila chembe ya woga na kujutolea hakika tutakuwa tumesafisha njia hata kwa vizazi vijavyo
 
Hapa wadau mmenifundisha kitu, cc tumetelekezwa mtaani wao wanakula tu, tena baadhi yao ni undercolified. Alafu walivyo wa ajabu, ajira wanazibana makusudi kwa watoto wawalala hoi huku watoto wao wananeemeka. naungamkona hiyo chama.
 
Mleta mada nna kawazo cha kutengenez whtsup group kw ajili ya hii ishu unaonaje nikuunge unipe wengne na wengine na wengne...
 
Jamani mm npo tayar kuunga mkono hizo movement namba yangu ni 0788562816
 
Tayar limeshaundwa namba ya adm ni rahis sn mtamcheck kw 0719203333.
Mwanamapinduzi hyooo
 
sasa naona graduates inabd serikali ipitishe sheria ya kutukomboa katika hili janga. Skills tunazo ili serikali ituandalie mazingira ya kulitumikia taifa. Muheshmiwa spika Naunga mkono hoja.
 
anzisheni mazee, si hii association itakuwa na viongozi tutagombea kupitia humuhumu tupate ajira. pia itagenerate ajira kiasi fulani. ila wewe mwenye idea tusije tukakuona unahitaji nafasi coz tutajua ni mkakati tu wa kujikomboa na njaa zako.
 
jiarini acheni kuwanga nyie, mtaitisha conference na ela hamna mnategemea nini mtembee na miguu mpaka conference hall, kikubwa nikila mtu kwa nafasi yake aangalie ni tawezaje kujiajiri na kutoka kama mimi. sio kusubiri ajira
 
Yaaan mpaka sasa hivi sion chochote kinachoendelea juu hii association mbna kmya jamani
 
Kilimo kwanza ndio mkombozi wa vijana msio na ajira.
Vinginevyo mtafuteni Nyani Ngabu awarushe mkapige boksi ughaibuni
 
Mmm wengine 2nataka kuacha kazi 2cmamie miradi ye2 nyie mnawaza kuajiliwa,CCM mnaijua au mnaickia?!
 
Wazo zuri. Kikao kingine lini? Nilikosa cha kwanza nilikua kijijini huko nduoni.
 
Wazo zuri japokuwa linahitaji kuboreshwa zaidi. Nitakuja na maboresho kiduchu.
 
Back
Top Bottom