Wenzetu wanakula vizuri hats huo urojo wanaweka virutubisho kibao sasa nyie jidanganyeni na maugali yenu mnajijazia masukari mwilini halafu hamjui jinsi ya kusafisha mwili. Yale maviungo pia no dawa nzuri sana kwao
Hapana hapa tulipofikia inatosha hata nyerere aliona mbali kwamba ingezidi hapa watu wangejiona hii nchi in Mali yao inabidi tukae chini ikiwezekana ipunguzwe labla watatuheshimu
Sasa we we mbona unawashwawashwa ungekuwa we we ndio upon kwenye nafasi yake usingefanya hivyo???? Mbali na hayo tumeona waziri wa ujenzi akijinunulia nyumba tens mpaka mahawara wamenunuliwa. Mwisho kabisa hili jambo ni kwanini ulilete Leo wakati ni la muda mrefuuuu???? Umeona mini??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.