Recent content by Ndengano

  1. N

    Elibariki Kingu (Mb): Balozi wa Marekani ni mpuuzi, mikono yenu inanuka damu

    Bora wangemlipa musiba awasemee sio weweeee......ungesikia nyie mabeberu mnataka kutupangia na kututawala tutawapotezaaaaaaa
  2. N

    Mbona wapemba wanakula sana chipsi lakini wana wake wengi?

    Wenzetu wanakula vizuri hats huo urojo wanaweka virutubisho kibao sasa nyie jidanganyeni na maugali yenu mnajijazia masukari mwilini halafu hamjui jinsi ya kusafisha mwili. Yale maviungo pia no dawa nzuri sana kwao
  3. N

    Jifunze kutengeneza lotion nzuri kwaajili ya ngozi

    Tupage masomo dear ili tupige pesa mtaani pagumu eti
  4. N

    GE2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

    Labda ungeniambia jaji Warioba au jaji Agustino Ramadhani sawa hawa wengine woote ni kwa ajili ya matumbo yao na sio kwa maslahi ya watanzania
  5. N

    Rais Magufuli nipe wizara ya mambo ya ndani kwa siku saba niufunge mjadala wa Lissu.

    Wewe jamaa unataka jiwe azimie aanguke afe kabisaaa. Kwanza ukipata huo uwaziri unapewa na mipaka ripoti ikitoka ipitie mezani kwake kinachofuata utaamuliwa nini cha kusema ohoooo waoneni mawaziri na vitu wanavyofanya ufikiri ni utashi wao wamepangiwaaaa
  6. N

    Dawa ya kumaliza uchawi pasipo muhusika kujua

    Yaani umeshindwa kuzungumza na Mimi ukaona uje unianike huku unakoita kijiweni wachawi hatukimbiwi sisi no kama upepo popote ulipo tupo
  7. N

    Kipindi cha Tanzania mpya TBC: Katiba ibadilishwe Rais atawale miaka 20

    Hapana hapa tulipofikia inatosha hata nyerere aliona mbali kwamba ingezidi hapa watu wangejiona hii nchi in Mali yao inabidi tukae chini ikiwezekana ipunguzwe labla watatuheshimu
  8. N

    Profesa Assad anunua nyumba za NSSF huko Tanga

    Sasa we we mbona unawashwawashwa ungekuwa we we ndio upon kwenye nafasi yake usingefanya hivyo???? Mbali na hayo tumeona waziri wa ujenzi akijinunulia nyumba tens mpaka mahawara wamenunuliwa. Mwisho kabisa hili jambo ni kwanini ulilete Leo wakati ni la muda mrefuuuu???? Umeona mini??
  9. N

    Wamiliki wa hisa za Vodacom waanza kuuza kwa hasara ya shilingi 100

    Nyie uzeni Sisi tupo na uwekezaji wa maviwanda tutaheshimiana tu 2020
  10. N

    Tetesi: Tundu Lissu Asikitishwa na yanayoendelea Chadema na Uchaguzi 2020

    Haaaaa Lumumba katika ubora wao hapo unatafutwa ugali wa Siku moja hadanganyiki mtu hapa kawaambie mbinu yetu imebuma wameistukia 2020 twende na membe
Back
Top Bottom