Namba 26
JF-Expert Member
- Oct 15, 2018
- 309
- 917
Mademu wa bongo wajanja sana wanasemaga eti chipsi zinapunguza nguvu za kiume huu ni uongo
mbona wapemba wanakula sana chipsi yai,urojo na mavyakula mengine malaini laini na hawalagi ugali kabisa ukitaka kumnyima mpemba chakula pika ugali hali kabisa
Mademu wa bongo wanatuambia tule maugali eti yatatupa nguvu za kutia chipsi tuwaachie wao ha ha ha tumeshtuka tutabanana huko huko kwenye chipsi yai hatudanganyiki tena kama chipsi zingekuwa na madhara basi wapemba wangekuwa wa kwanza kudhurika.
mbona wapemba wanakula sana chipsi yai,urojo na mavyakula mengine malaini laini na hawalagi ugali kabisa ukitaka kumnyima mpemba chakula pika ugali hali kabisa
Mademu wa bongo wanatuambia tule maugali eti yatatupa nguvu za kutia chipsi tuwaachie wao ha ha ha tumeshtuka tutabanana huko huko kwenye chipsi yai hatudanganyiki tena kama chipsi zingekuwa na madhara basi wapemba wangekuwa wa kwanza kudhurika.