Habari wanaJF.
Ninaomba msaada wa mahali pa kuyapata Mashuka ya Uganda na Pakistan hapa Tanzania kwa bei ya jumla.
Au kama kuna mtu anaushauri mzuri wa jinsi ya kufanya biashara ya mashuka nitashukuru nikipata msaada wa mawazo.
Pia ningependa kujua yanakopatikana mashuka ya kimasai kwa bei...
Nimejaribu kutafuta link ya hiyo Act bila mafanikio. Kuna mahali nilipata amendments tu na si Act kamili.Msaada kwa anaejua tafadhali.
Nilipita site ya bunge pia bila mafanikio.
Kwakweli nilijaribu kusugua kichwa kukumbuka ule uchumi wa form 5 nikaambulia patupu...tumesoma audit tumekutana na economics...utumishi noma, ngoja tusubiri hiyo alhamis!:crying::crying::crying:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.