Kwani wewe hujui walimu wengi ni form four failures??huonagi pia wanatumika km mtaji wa wanasiasa...inshort walimug wengi sio wote hawajielew especially wa primary ndo kabisaa...Pia mazingira wanyofanyia kazi hasa vijijin hata akili haichangamki kureason things
Mm nina malalamiko mkoa wa kilimanjaro ,Yan tulihangaika sana kumpata surveyor almost miez miwili.Baada ya kuja akasema mkalipie next ijumaa na hapo ilikuwa ijumaa lakin kuanzia siku hyo huu ni mwez wa tatu kila nikiomba control number ofisini tulipie tunarudishwa na wanasema wanatumia kweny...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.