Recent content by Ndelyaukiwa

  1. N

    KLM imeshindwa kutua Kilimanjaro kisa hakuna umeme

    Arusha Kuna uwanja wa kuweza kuookea ndege ya KLM[emoji1787]Aise!shuke ulienda kusomea ujinga.
  2. N

    Mizengo Pinda: Tuanze mchakato wa kuwa na Tume huru ya Uchaguzi

    Kukata mizizi yote dawa ni katiba mpya ambayo ina kila kitu ikiwemo tume huru
  3. N

    Huu u-selective ntakufa bachela jamani

    Umba wako na tope umuoe
  4. N

    Natafuta kazi Dar, nina Diploma ya Procurement

    Una majibubua jeuri unakqtishq tamaa hutakuwa na fadhila ww
  5. N

    Mwana FA hajui mnyororo wa thamani katika sherehe za harusi, aelimishwe...

    Kila mtu afungea ndoa/harusi kwa uwezo wake.tusipeane stress
  6. N

    Yuko wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru Ally?

    AlistaafishwA kwa maana hiyo ni mstaafu
  7. N

    Kwanini walimu na wastaafu ndio wahanga wa Utapeli wa QNET, DECI, D9 nk?

    Kwani wewe hujui walimu wengi ni form four failures??huonagi pia wanatumika km mtaji wa wanasiasa...inshort walimug wengi sio wote hawajielew especially wa primary ndo kabisaa...Pia mazingira wanyofanyia kazi hasa vijijin hata akili haichangamki kureason things
  8. N

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Najua nipo kwenye list ila swali langu nilisema hivi; inachukua mda gani mm kufungiwa baada ya malipo niliyofanya mwezi wa sita tarehe 17?
  9. N

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tarehe ya malipo: 17/062020 Kiasi cha malipo:27,000/= Jina:Gabriel Aloyce Riwa Number:0752303156 Wilaya:Moshi vijijini
  10. N

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mm nina swali;Je huchukua mda gani kufungiwa umeme endapo umeshakamilisha taratibu zote mpaka malipo?
  11. N

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nmetuma Inbox Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  12. N

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mm nina malalamiko mkoa wa kilimanjaro ,Yan tulihangaika sana kumpata surveyor almost miez miwili.Baada ya kuja akasema mkalipie next ijumaa na hapo ilikuwa ijumaa lakin kuanzia siku hyo huu ni mwez wa tatu kila nikiomba control number ofisini tulipie tunarudishwa na wanasema wanatumia kweny...
  13. N

    Pokea mkono wa Iddi.

    Mi ndo naichukua
  14. N

    Pokea mkono wa Iddi.

    Watu macho juuu hebu acheni kufanya vocha
Back
Top Bottom