Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,276
- 17,983
Bila kuwakosea heshima, nimekuwa nikijiuliza kwa nini wengi wa wanaoingia mkenge kwenye michezo hiyo ni Walimu- wastaafu na waliopo kazini.
Busara ya kawaida inaonyesha wangekuwa ndiyo waelewa wa kuwastua wengine wasiingie kwenye mitego hiyo.
Tatizo liko wapi?
Busara ya kawaida inaonyesha wangekuwa ndiyo waelewa wa kuwastua wengine wasiingie kwenye mitego hiyo.
Tatizo liko wapi?