mahitaji tu ya kifedha boss, japo najua naweza kukaribisha stress pia.
But kwa nilivyosoma mchezo ukipata mzoefu wa betting 100K haiwezi kuisha yote bila kupata kitu..au sio hivyo?
Ukikuwekea FBI wa kike hakikisha anajutia uamuzi wake kwa kupindua meza kibabe..akikuwekea wa kiume tafuta mademu zao halafu malizana nao tu kisha waambie wakaripoti kwa boss wao kwamba umechakata madem zao..
Hii ni kama mahusiano yako beyond repair..kwamba huna interest tena za kuendelea nayo.
Jangwani pale kwenye mafuriko ndio watajenga? au ni mpaka wameliza mradi wa Msimbazi basin ndio waje kwenye ishu ya soko Jangwani?
Na kariakoo ni eneo gani watajenga hayo majengo ya wamachinga? Pale palipoungua?
Tujiepushe na kauli tamu tamu zenye kuleta matumaini hewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.