Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,835
Habari zenu Wana jf poleni na misukosuko ya maisha.
Mimi nina tatizo la kujamba kila baada ya dk mbili yaani twenty four hours na hili tatizo lilianza tangu nije hapa kwa wahindi maana nakaa upanga ni mwanaume nafanya kazi ya kusafisha nyumba na bustani pia.
Sihitaji kejeli naomba kwa Anaejua dawa yake maana inafika wakati hata kukaa na wenzangu naona aibu inakuwa kero kwao.
Asanteni.
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Mimi nina tatizo la kujamba kila baada ya dk mbili yaani twenty four hours na hili tatizo lilianza tangu nije hapa kwa wahindi maana nakaa upanga ni mwanaume nafanya kazi ya kusafisha nyumba na bustani pia.
Sihitaji kejeli naomba kwa Anaejua dawa yake maana inafika wakati hata kukaa na wenzangu naona aibu inakuwa kero kwao.
Asanteni.
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app