Habari Ndugu zangu humu?hamjambo !kipindi nipo seminary miaka ya 10 iliyopita,nimelala kitanda cha juu ,kumbe anayelala chini anavaa chupi za kike,ana mwili mkubwa,nilijua kaiba kwa mabinti,bweni zima walikuwa wanajua na wanaogopa kuuliza ,nikamuuliza jamaa mbele za watu ,alisema chupi za kiume...