Vitabu nilivyosoma mwaka 2018 – Zitto Kabwe

Vitabu nilivyosoma mwaka 2018 – Zitto Kabwe

Mheshimiwa Zitto Mimi kwa mwaka huu mzima nimesoma Vitabu vyangu hivi Saba ( 7 ) tu hadi vimenichanganya:

1. The whereabout of Afro American Hero Ben Eight
2. Why Bombardier and Dreamliner in Africa
3. The relationship between Cashew nut and Soldiers in Africa
4. Remembrance of Akwilina Akwilina in Africa
5. Why is it so difficult for an African Chemist to travel abroad and overseas?
6. The love of promoting and demoting in Africa
7. Why Infrastructure development is more important than Agriculture, Education and People's welfare in Africa?


Ukivihitaji sema nikuletee uvisome pia kwani vina Madini mengi sana tu.
Aiseeee [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lini kulikuwa hakuna "political crisis"?

Hilo la "civil war" kwa Tanzania hii lisahau.

Hujanielewa hata kidogo. Mimi nilimshauri Zitto asome vitabu vya "Civil War" ili atakapo kuwa mzee aweze kuwa msuluhishi katika nchi zenye Civil War katika Afrika.

Tanzania kamwe hatuwezi kuwa na Civil War kwa sababu FaizaFoxy atahizuhia isitokee na atakuwepo kuzuhia civil war katika nchi hii wakati wote wa uhai wa taifa na hata kama kuna mtu anataka kuleta civil war mwaka 2095 Faiza Foxy atakuwepo na atazuia.

Ubarikiwe sana sana kwa kuwa na uwezo wa kimungu wa kujua litakalotokea kesho yaani unajua hadi tarehe ya kifo chako, uko juu sana mama.
 
Hongera sana mkuu kwa juhudi hizo za kuongeza maarifa kupitia vitabu

2020 John Walker out
 
This young man is a truly focused man, one should know reading is food for the brains, the Culture of reading developes ones mind, culture, knowledge and how to cohabitate.

I can see this young man is destined to lead us and kead ys fairly and faithfully, He deserves a great chance.

I summon all men and wimen below the age of 50 lets stand by him , he will make the change we long for.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ungefanya sana juhudi kuvisoma maana humjenga mtu kuwa na khema ya hali ya juu[emoji116]

Vitabu vingine huwa vitabu rejea na huvirudia kwa ajili ya mafunzo ili kufanya maamuzi Fulani Fulani au kwa ajili ya ibada (kwa mfano Quran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto hongera sana mkuu. Kusoma ndio dawa ya kujua mambo mengi. Ndio maana hoja na arguments zako huwa kuna watu wanapata tabu sana kuzijibu hivyo hujibiwa kwa kukutia lupango.

Viongozi wetu kama wakuu wa nchi na wengine muwe mnaweka muda wa kujisomea hata vitabu 3 tu kwa mwaka. Hii itasaidia kujiongezea uwezo wenu wa kufikiri na kutumia hiyo knowledge kutatua changamoto za wananchi.

Pia hizo data na research zitumike kuwaondolewa wananchi umaskini.
 
Tatizo lenu ni ugeugeu. Miaka 3 iliyopita mlisema Rais Kikwete ni DHAIFU ndio maana watu wanafanya ufisadi, sasa kinyume chake mlitaka Rais wa aina gani? Dhaifu hamumtaki, mnataka yupi kama sio chuma cha pua? Bahati nzuri Mungu katupa Rais Magufuli ambaye anatuongoza vzr tu na hadi mkasema anatekeleza ilani ya UKAWA sasa kelele za nini ati ni dikteta wehu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hoja yako ina uhusiano gani na hoja ya mh Zitto?

2020 John Walker out
 
MHESHIMIWA ZITTO, I PROMISE TO SEND YOU SEVERAL BOOKS IN A MONTHS TIME, AS I LIVE OUT OF TZ,I PROMISE TO SHIP THEM TO YOU, UNANIMOUSLY. KWANI HAKUNA KUSHUKURIANA KWENYE KUJENGANA KI ELIMU AMA MAENDELEO YA NCHI YETU.

PLEASE PROVIDE ME THE ADRESS I SHOULD SHIP IT TO , ANY 2 BOOKS OF YOUR CHOICE.

WISHING YOU ALL THE BEST FOR 2019

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaona kama umesoma na kitabu cha yeriko nyerere au haja kupa of a uzalendo muhimupia
 
Mheshimiwa Zitto Mimi kwa mwaka huu mzima nimesoma Vitabu vyangu hivi Saba ( 7 ) tu hadi vimenichanganya:

1. The whereabout of Afro American Hero Ben Eight
2. Why Bombardier and Dreamliner in Africa
3. The relationship between Cashew nut and Soldiers in Africa
4. Remembrance of Akwilina Akwilina in Africa
5. Why is it so difficult for an African Chemist to travel abroad and overseas?
6. The love of promoting and demoting in Africa
7. Why Infrastructure development is more important than Agriculture, Education and People's welfare in Africa?


Ukivihitaji sema nikuletee uvisome pia kwani vina Madini mengi sana tu.
I liked you sense of humor

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mheshimiwa Zitto Mimi kwa mwaka huu mzima nimesoma Vitabu vyangu hivi Saba ( 7 ) tu hadi vimenichanganya:

1. The whereabout of Afro American Hero Ben Eight
2. Why Bombardier and Dreamliner in Africa
3. The relationship between Cashew nut and Soldiers in Africa
4. Remembrance of Akwilina Akwilina in Africa
5. Why is it so difficult for an African Chemist to travel abroad and overseas?
6. The love of promoting and demoting in Africa
7. Why Infrastructure development is more important than Agriculture, Education and People's welfare in Africa?


Ukivihitaji sema nikuletee uvisome pia kwani vina Madini mengi sana tu.
We jamaa umeshindikana. Khaaa
 
Nikupongeze sana ndg Zitto kwa sababu pia wewe ni role model wangu!

Kuna kipindi niliwah kusoma jinsi unavomlea na kumpangia ratiba mtoto wako Chachage kusema ukweli I was left in awe and so much impressed na tangu siku hiyo niliamua nikiwa na mtoto nitajitahidi sana kufuata mfano wa malezi yako na bahati mzuri ninaye mtoto ana miezi 9 sasa!

Umesema umekuwa ukisoma Quran kama kitabu cha rejea lakini umekuwa ukijinasibu kugeuka kuwa bwawa na mengineyo yanayoashiria ushirikina ama uchawi tofauti na maandiko ya dini! Je hauoni unatoa mfano mbaya kwa kizazi ambacho tunakuchukulia kama role model kujinasibu hadharani kutumia uchawi kujilinda?

cc: Zitto
 
Back
Top Bottom