kamarah1320
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 294
- 296
dada una umri gan???Hahaha ahsante Dada, ila Mie ni mkongwe humu, toka 2012 ati
dada una umri gan???Hahaha ahsante Dada, ila Mie ni mkongwe humu, toka 2012 ati
Binafsi nakupongeza kwa kujitunza, karne hii ni ngumu sana kupata vijana wanaoweza kufanya ulichofanya. Simamia kwenye mstari huo huo hadi ufikie malengo yako, lazima utampata uliyeandaliwa.
Sisi wengine tulishajiharibu zamani ndio maana labda tunaona wivu na kuhisi vibaya.
Don't listen to anyone who's trying to pull you down, don't go down with them.
Kakabisa, kwanza ngoja tu nifunge PM
Sasa si ufungue pm yakoNimeona kejeli na matusi vimetawala, ahsanteni na nisamehe we, labda hii hairuhusiwi Jf.
JamiiForums naomba hii post ifutwe.
Ooh jaman pole dada@Okoyoyo kwanini kunitusi?
Kama post haikuhusu si unaacha tu?
Najuta kuanzisha Uzi huu, machozi yananitoka tu hapa, anyway, ngoja niombe ifutwe, Mungu atanilipia
Sio me wala ke, mimi ni mwanaume mkuu.Kwani wewe ni Me au Ke??
Aggy una akili sana ila muda mwingine ukiamua kujitoa ufahamu unajitoa haswaaMary huku hakuna wanaume.
Niulize mimi nkwambie
Na mbinu nzuri ambayo binti bado bkr anatakiwa aitumie wakat wa kutafuta mume ni kutomwambia ukweli kwamba ww ni bikra.. Msurprise tu
Mwanaume ukimwambia ww ni bikra atafanya juu chini aje kwako.. Atafuata bkr syo wewe!
Atakupendea bikra ikisatoka whats next?
Kuna sie ambao sio bikra tunapendwa kwa dati na tunaolewa.. Jifanye kama siai utapata wa kukupenda wewe kana wewe.. Na atakua anamfata mary na sio that precious thing down there.itakua surprise yake
Wewe ukimpata mwambie tu hauko tayari kulala nae.. Akikubali na kukhposa katoe sadaka ya shukrani wanaume wa hivyo adimu
Wenyewe wanadai hawataki kuuziwa mbuz ndani ya gunia.
Una kazi ngumu kumpata.. Ila kila la heri
Nitafute au nitumie namba nikutafteNimeona kejeli na matusi vimetawala, ahsanteni na nisamehe we, labda hii hairuhusiwi Jf.
JamiiForums naomba hii post ifutwe.
SifunguiSasa si ufungue pm yako
AhsanteElewa kiswahili vizuri, sikukutukana bali nilitoa maoni yangu. Halafu dada inaonekana hujielewi, ndo maana umefikisha miaka 30 bila mume, sasa ulivokuja humu jf kuanzisha uzi ulkuwa hujui kwamba wanaume waongo wapo? Wanaume walioko mtaani ndo waliomo humu jf..mara umewakaribisha watu pm, mara sahivi unasema umefunga pm..inaonekana ulifungua uzi ili tu kupata attention ya vidume, na nilijua hayo yote ndo maana sikujisumbua kuku-pm, endelea kuchamba kwa mda mrefu mama, ukitoka na ma.vi usilaumu mtu Marry Hunbig
Rafiki eti umeolewa?Aggy una akili sana ila muda mwingine ukiamua kujitoa ufahamu unajitoa haswaa
Kwann sasaSifungui
Ahahaahaha, imebidi nicheke tuHakuna cha bikra wala Maria hpo, na wala hatafutwi mwanaume hpo anatafutwa muhalifu, jipelekeni pm wapenda chura za bure mtaishia kusikojulikana,
Maamuzi tuKwann sasa
Maamuzi tu