jamani huo sio uongo hali ndio ipo hivyo, mimi mwenyewe nimepeleka maombi jana na nimekuta mizengwe kibao. Mi nazani kuna haja ya kuchukulia hatua hii hali maana ikiendelea hivi mambo yatakua sio mazuri. Hawa jamaa wanatusumbua sana haiwezekani watangaze kazi wakati wanajua kabisa watu wanaotaka...
usichoke hiyo ndio reality watu wanavamia ndoa kwa kuangalia vitu vya ajabu ambavyo sio endelevu kama vile pesa, umaarufu, nk so mambo yakiharibika na mapenzi yameisha. kingine hakuna mafunzo ya namna ya kuishi ndani ya familia. wadada wengi wa sasa wanajilemba lakini hawana elimu ya kuishi na...
naitwa Nchimbi Ausi ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja hpa Tanzania. ni miongoni mwa watu wachache sana waliotokea kuipenda taaluma ya ualimu. Huwa napenda sana kujadili masuala mbalimbali ya elimu, siasa na falsafa. Tchao!!
Watu wengi wanaupenda muungano ila wakati umefika wa wananchi kujadili kwa kina aina ya muungano tunaoutaka kwani wakati waasisi wetu wanaunda huu muungano wananchi hawakushirikishwa kikamilifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.