Esperance
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 364
- 84
Maty mpendwa kuna mambo hayavumiliki , me wifi yangu hadi alitaka kufa na ujauzito kwa pressure mume ana nyumba ndogo 3 na zote ni wadada wa mujini na familia ya kiume inajua, mume anarudi manane ya usiku hadi apige round nyumba ndogo zote. Wazaz wanamwambia avumilie. Hamjali kamtelekeza na mtoto wa miaka 4. Hapo kuna uvumilivu tena???