Recent content by Naynay

  1. Naynay

    Nahitaji mwanamke wa kuzaa nae tu

    Mmmmmh....
  2. Naynay

    Wema na Idriss Kimenuka

    mmmmh!!
  3. Naynay

    Zari is insecure over Jackline Wolper, not Wema Sepetu anymore

    hahahaaaaa!! ati kama ulikuwepo vile!!
  4. Naynay

    Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

    Teh teh teh jamanii... hadi raha.ukitoa banzi lililopo ktk jicho la mwenzio ujue wewe unaguboroti jichoni mwako!!! haya sasa ngoja wagutoe...
  5. Naynay

    Kwanini wanaume wanaonitongoza ni choka mbaya?

    fanya kazi upate zako kihalali.nawe uanza kuwapa hizo 10,20.
  6. Naynay

    Zari na Diamond wategemea kupata mtoto mwingine

    Kha!! hivi kuna watoto haramu?? jamani tusitamke tusivyovijua! Mwache ajizalie tu ZARI.Kwani tatizo liko wapi? Au kaomba msaada kwa mtu wa kulea watoto wake?? Amepanga/wamepanga wameona yafaa kuzaa na watamudu kulea watoto wao!!
  7. Naynay

    Walimu wamtaka DC Kinondoni kuomba radhi

    wanacheza na saikolojia ya walimu hawa!!! lkn siyo mbaya coz taifa la wajinga, wezi, vibaka, matapeli, mafisadi n.k laandaliwa.
  8. Naynay

    Maskini Baba Diamond, azidiwa ghafla

    Na amwache Diamond na maisha yake kama alivyomkana!! Angekuwa Nassib yule yule wa mbagala na si Diamond wa leo angekuwa anaenda magazetini kila siku??
Back
Top Bottom