Recent content by Navuta bangi

  1. Navuta bangi

    Kuna kila dalili CHADEMA wameshavuta ruzuku kabla mwaka wa fedha kuisha leo tarehe 30.06.2021

    Ndio mbona Ruzuku tumeshavuta kitambo sana, kwa nyie hamjui, au mlitaka tunavoenda kuchukua tuite na waandishi wa habari ama?[emoji87] Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Navuta bangi

    Hospitali ya Seliani (Arusha) acheni ubaguzi wa rangi

    Huyo mgonjwa ulompeleka ni mzungu nini?? kama ni mzungu watakuwa walijua ana hela ndiomama wakamcharge parefu au wakamcharge in dollars instead of Tsh....[emoji3][emoji3]pia hiyo ni hospital ya private..ko wapo kibiashara zaidi, bila pesa hupati huduma..but huduma zao ni nzuri sana
  3. Navuta bangi

    Kuishi na mwanamke mjamzito kunataka uvumilivu sana

    Umenikumbusha siku moja wakati wife ana ujauzito wa kama miezi 8.... Always mm nalalaga ukutani karibu na socket ili nichaj simu yangu huku naitumia....sasa siku hiyo nakuta wife kang'nga'nia kulala karibu na charger, wakati huo simu yake ipo 100% afu mm yangu 2%[emoji23]....tukagombana pale...
  4. Navuta bangi

    Hospitali ya Seliani (Arusha) acheni ubaguzi wa rangi

    Mkuu unazungumzia seliani ya hapa arusha town karibu na stand kuu.
  5. Navuta bangi

    Wimbi la vijana wengi kutembelea gari za kike

    Huu uzi umenikumbusha juzi, Tulikuwa pub na dingi mmoja hivi, yeye anamiliki V8, wakati tunaendelea kunywa, akatokea jamaa mmoja akashuka kwenye IST yule dingi akaropoka "Ukiwa unaendesha V8 afu ukamuona mtu anaendesha IST unamuona kama amechanganyikiwa hivi" ...watu tulicheka...
  6. Navuta bangi

    Hatia 4 - Dizasta vina ni best story teller tangu hiphop ya bongo ianze mpaka sasa

    Hii mistari ndo ipo kwenye ile ngoma yake inaitwa "ndoa haina stamina" au sio
  7. Navuta bangi

    Hatia 4 - Dizasta vina ni best story teller tangu hiphop ya bongo ianze mpaka sasa

    Huyu jamaa anajua sana asee...mwaka juzi nilikuwa nimepanga kuoa, lakini baada ya kusikiliza ile ngoma yake inaitwa "ndoana" ikabidi niahirishe kwanza suala la kuoa[emoji3][emoji3]
  8. Navuta bangi

    Wakuu nahitaji kununua gari naombeni ushauri wenu

    [emoji106][emoji106]Nimekupata mkuu
  9. Navuta bangi

    Gari za serikali ziwekewe limit ya speed ili kupunguza ajari za barabarani

    Wakuu nimepita pita huko kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na hii ajali aliopata mkurugenzi wa halmashauri ya tarime Leo maeneo ya ikungi singida, dereva pamoja na afisa maendeleo wamefariki papo hapo...Mkurugenzi amekimbizwa hospital ila kwa jinsi hii gari ilivoisha najua atakuwa na hali...
  10. Navuta bangi

    Niliyoyaona baada ya kumiliki gari ya Mzungu

    Achana na hiyo VW golf touran hiyo haina speed kakaa....... Mnyama ni huyu hapaa[emoji116][emoji116] VW golf gti...300kph[emoji39][emoji39]
  11. Navuta bangi

    Niliyoyaona baada ya kumiliki gari ya Mzungu

    Mkuu hapo kwenye mkeka wa njombe, unazungzia ule wa kutoka makambako hadi njombe au????
  12. Navuta bangi

    Anaezifahamu vizuri gari aina ya Toyota Vanguard na Harrier msaada tafadhali

    babu inamana we huoni hali halisi....mtu unanunua gari 10000usd kodi TRA unalipia 15000usd....hapo bado hujaingia nalo road hujakutana na trafik nao wanataka pesa...enzi za jakaya haya mambo hayakuwepo mkuu, ndiomana nasema ngoja magu atoke kwanza madarakani
  13. Navuta bangi

    Anaezifahamu vizuri gari aina ya Toyota Vanguard na Harrier msaada tafadhali

    [emoji3][emoji3]kuna wapiga soga flani nimewasikia wakisema ni harrier hybrid....kumbe ni tako la nyani....ila sio mbaya kwa levo yake amejitahidi...
Back
Top Bottom