Kuna kila dalili CHADEMA wameshavuta ruzuku kabla mwaka wa fedha kuisha leo tarehe 30.06.2021

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Ajizi nyumba ya njaa kwa wenye uelewa na mambo ya serikalini leo ndio mwisho wa mwaka wa hesabu za serikali hivyo maafisa masurufu yawapasa warudishe pesa zote zilizopangwa kutumika lakini hazijatumika.

Ipo siku isiyo na jina ambayo wafuasi wa Chadema watagundua kuwa walichangishwa pesa huku wakihadaiwa kuwa cheamanj kasusa kumbe "kishawapiga".Wakati ni huu, kesho ikifika mshachelewa. Mtalia! Mtalia! Mtalia!

Kuna kila viashiria ruzuku ya hadi tarehe ya leo 30.06.2021 "imevutwa",wanapangusa midomo huku wakichekea tumboni.

Tuimarishe uchumi kwanza.
 
ile episode ya wabunge covid -19 naona imeachwa sasa tumeamia kwenye katiba mpya...ila CCM inawajulia sana hawa watu..
 
Aliye pitisha sheria ya Fao la Kujitoa ni mtu KATILI sana

Yaani kazi nimefanya mimi halafu uje unipangie utazani ulikuwa unanisaidia kubeba Rumbesa...

Aisseee ikibidi Makaa ya Mawe
 
ile episode ya wabunge covid -19 naona imeachwa sasa tumeamia kwenye katiba mpya...ila CCM inawajulia sana hawa watu..
hahaaaa walikuja na mbwembwe nyingi hawa wasanii mara wakina bavicha wanasema mbowe tuachie ndugai tuna mmudu mpaka leo wamechuchumaa/wamegonoka kama wana subiri kupigwa miti
 
Acha propaganda za kijinga. Pesa ya umma iwe ruzuku au nyingine yoyote haifichiki na pia 'haipigwi' kijinga kiasi hicho.

PS: try marijuana, it might help you relax and forget the pain of being banished from CDM.
 
Aliye pitisha sheria ya Fao la Kujitoa ni mtu KATILI sana

Yaani kazi nimefanya mimi halafu uje unipangie utazani ulikuwa unanisaidia kubeba Rumbesa...

Aisseee ikibidi Makaa ya Mawe
Ilipitishwa 2012, hivyo tafuta huyo mtu
 
Ndugu zangu,

Ajizi nyumba ya njaa kwa wenye uelewa na mambo ya serikalini leo ndio mwisho wa mwaka wa hesabu za serikali hivyo maafisa masurufu yawapasa warudishe pesa zote zilizopangwa kutumika lakini hazijatumika.

Ipo siku isiyo na jina ambayo wafuasi wa Chadema watagundua kuwa walichangishwa pesa huku wakihadaiwa kuwa cheamanj kasusa kumbe "kishawapiga".Wakati ni huu, kesho ikifika mshachelewa. Mtalia! Mtalia! Mtalia!

Kuna kila viashiria ruzuku ya hadi tarehe ya leo 30.06.2021 "imevutwa",wanapangusa midomo huku wakichekea tumboni.

Tuimarishe uchumi kwanza.
Mbowe siyo mrahisi rahisi wa kujidhalilisha kwenye mamlaka kama walivyo kina Kabudi, Ndugai, nk.
 
Aliye pitisha sheria ya Fao la Kujitoa ni mtu KATILI sana

Yaani kazi nimefanya mimi halafu uje unipangie utazani ulikuwa unanisaidia kubeba Rumbesa...

Aisseee ikibidi Makaa ya Mawe
Mtafute hapo alihepitisha hiyo sheria,, ilikuwa 2012
 
Aliye pitisha sheria ya Fao la Kujitoa ni mtu KATILI sana

Yaani kazi nimefanya mimi halafu uje unipangie utazani ulikuwa unanisaidia kubeba Rumbesa...

Aisseee ikibidi Makaa ya Mawe
Leo nimeapa nikusaidie ili umjue aliyepitisha hiyo sheria, mtafute tena hapa ilikuwa 2012
 
Back
Top Bottom