Wakuu nahitaji kununua gari naombeni ushauri wenu

Fuel consumption ya x trail ipoje mkuu
Siyo mbya Ila ni tofauti na spacio spacio ni nzuri kwenye fuel na spares yaani kwa kifupi Toyota zote spare ni Bei rahisi na zinapatikana popote tofauti na Nissan Ila kwa miaka ijayo spare nazo za Nissan zitakuwa zinapatikana kwa kuwa Toyota kwa sasa Kodi yake imebadilika Sana kuliko Nissan
 
Kati hizo nimewahi tumia Wish na spacial Sitakaa nizisahau . Utumiaji wake mafuta kawaida but hazipendi Adha yan ukiituma zaidi ya km 20/30 inachemka vibaya service inakuhusu. Na pia ukiingia road za vumbi kwenye mawemawe utafurahi mwenyewe na ole wako pawe na matope. Zilichonikera zaidi hazitaki mizigomizigo yan ni special kwa round sasa kwa sisi wanakijiji tushazoea ukienda sehem ukikuta mbuzi ina bei nzuri unabeba, ukikuta mkaa unafunua siti unapakiza, ukikuta mihogo twende.
Sema uliluwa na gari mbovu kuchemsha ni matatizo ubovu binafsi siyo wa kampuni then wewe unakuwa na gari ya kutembelea unataka kuigeuza ya mizigo .wewe ukitaka kwenda kijijini kwenu nenda na center hapo utabeba hata mawe ukiona ni mazuri na mjini hakuna
 
Ukitaka kuagiza gari angalia kwanza budget yako na kodi ya tra ipoje kwa gari husika maana kuanzia January hii kodi za magari zimepanda maradufu

IST saivi kodi yake imefika 6mil kutoka 4mil

Usipokuwa makini unaweza ukaagiza gari ukashindwa kuitoa bandarini
kweli asee nimeona kama, Toyota vanguard 2013 kodi imepanda kutoka 11M hadi 31M... na vanguard 2014 imepanda kutoka13M hadi 25M
 
Sema uliluwa na gari mbovu kuchemsha ni matatizo ubovu binafsi siyo wa kampuni then wewe unakuwa na gari ya kutembelea unataka kuigeuza ya mizigo .wewe ukitaka kwenda kijijini kwenu nenda na center hapo utabeba hata mawe ukiona ni mazuri na mjini hakuna
 
Sema uliluwa na gari mbovu kuchemsha ni matatizo ubovu binafsi siyo wa kampuni then wewe unakuwa na gari ya kutembelea unataka kuigeuza ya mizigo .wewe ukitaka kwenda kijijini kwenu nenda na center hapo utabeba hata mawe ukiona ni mazuri na mjini hakuna
Hahahahhahahahhah. Sawa kaka .. nimejikuta nacheka nasimu.
 
nilijua nitakutana na habari za "hiyo fanyia biashara".
Wana JF wamebadilika kwa kweli.
mzee wa bangi, daka spacio kama unataka used. Xtrail nyingi ukiona linauzwa ujue limenshida mmiliki aliyepita
 
Kati hizo nimewahi tumia Wish na spacial Sitakaa nizisahau . Utumiaji wake mafuta kawaida but hazipendi Adha yan ukiituma zaidi ya km 20/30 inachemka vibaya service inakuhusu. Na pia ukiingia road za vumbi kwenye mawemawe utafurahi mwenyewe na ole wako pawe na matope. Zilichonikera zaidi hazitaki mizigomizigo yan ni special kwa round sasa kwa sisi wanakijiji tushazoea ukienda sehem ukikuta mbuzi ina bei nzuri unabeba, ukikuta mkaa unafunua siti unapakiza, ukikuta mihogo twende.
Hata pikpik haichemk kwa km 30 ,labda hizo zilikuwa mbovu bro
 
Back
Top Bottom