mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,160
- 22,615
Akiliacha bandarini ndo furaha ya jamaa zetu waleee
Akiliacha bandarini ndo furaha ya jamaa zetu waleee
Sijajua ila nimewatumia e-mail kuwauliza kama CIF ipo... kama wakisema ipo basi najilipua tu naiagizaXtrail ya 1800 USD CIF haipo
Angalia CIF
mbona na kuna x trail nyingine nimeona ni 980$....1500-1800usd Xtrail au?
Siyo mbya Ila ni tofauti na spacio spacio ni nzuri kwenye fuel na spares yaani kwa kifupi Toyota zote spare ni Bei rahisi na zinapatikana popote tofauti na Nissan Ila kwa miaka ijayo spare nazo za Nissan zitakuwa zinapatikana kwa kuwa Toyota kwa sasa Kodi yake imebadilika Sana kuliko NissanFuel consumption ya x trail ipoje mkuu
Sema uliluwa na gari mbovu kuchemsha ni matatizo ubovu binafsi siyo wa kampuni then wewe unakuwa na gari ya kutembelea unataka kuigeuza ya mizigo .wewe ukitaka kwenda kijijini kwenu nenda na center hapo utabeba hata mawe ukiona ni mazuri na mjini hakunaKati hizo nimewahi tumia Wish na spacial Sitakaa nizisahau . Utumiaji wake mafuta kawaida but hazipendi Adha yan ukiituma zaidi ya km 20/30 inachemka vibaya service inakuhusu. Na pia ukiingia road za vumbi kwenye mawemawe utafurahi mwenyewe na ole wako pawe na matope. Zilichonikera zaidi hazitaki mizigomizigo yan ni special kwa round sasa kwa sisi wanakijiji tushazoea ukienda sehem ukikuta mbuzi ina bei nzuri unabeba, ukikuta mkaa unafunua siti unapakiza, ukikuta mihogo twende.
kweli asee nimeona kama, Toyota vanguard 2013 kodi imepanda kutoka 11M hadi 31M... na vanguard 2014 imepanda kutoka13M hadi 25MUkitaka kuagiza gari angalia kwanza budget yako na kodi ya tra ipoje kwa gari husika maana kuanzia January hii kodi za magari zimepanda maradufu
IST saivi kodi yake imefika 6mil kutoka 4mil
Usipokuwa makini unaweza ukaagiza gari ukashindwa kuitoa bandarini
Sema uliluwa na gari mbovu kuchemsha ni matatizo ubovu binafsi siyo wa kampuni then wewe unakuwa na gari ya kutembelea unataka kuigeuza ya mizigo .wewe ukitaka kwenda kijijini kwenu nenda na center hapo utabeba hata mawe ukiona ni mazuri na mjini hakuna
Wao wameandika tu price $1550..Xtrail ya 1800 USD CIF haipo
Angalia CIF
Hahahahhahahahhah. Sawa kaka .. nimejikuta nacheka nasimu.Sema uliluwa na gari mbovu kuchemsha ni matatizo ubovu binafsi siyo wa kampuni then wewe unakuwa na gari ya kutembelea unataka kuigeuza ya mizigo .wewe ukitaka kwenda kijijini kwenu nenda na center hapo utabeba hata mawe ukiona ni mazuri na mjini hakuna
Hujaulizwa bei acha utapeliBajeti yako ipoje?
Pamoja kiongozi wanguHahahahhahahahhah. Sawa kaka .. nimejikuta nacheka nasimu.
Runix inakufaa.shukrani kiongozi...sina familia kubwa ni mimi, wife na mtoto mmoja..
Nimekupata mkuunilijua nitakutana na habari za "hiyo fanyia biashara".
Wana JF wamebadilika kwa kweli.
mzee wa bangi, daka spacio kama unataka used. Xtrail nyingi ukiona linauzwa ujue limenshida mmiliki aliyepita
Hebu tupe sifa za Auris kiongozi na je spare zake hazisumbui?achana na izo Chukua toyota Auris price ni 14, utanikumbuka
Wife naye anavuta bangi?shukrani kiongozi...sina familia kubwa ni mimi, wife na mtoto mmoja..
Hata pikpik haichemk kwa km 30 ,labda hizo zilikuwa mbovu broKati hizo nimewahi tumia Wish na spacial Sitakaa nizisahau . Utumiaji wake mafuta kawaida but hazipendi Adha yan ukiituma zaidi ya km 20/30 inachemka vibaya service inakuhusu. Na pia ukiingia road za vumbi kwenye mawemawe utafurahi mwenyewe na ole wako pawe na matope. Zilichonikera zaidi hazitaki mizigomizigo yan ni special kwa round sasa kwa sisi wanakijiji tushazoea ukienda sehem ukikuta mbuzi ina bei nzuri unabeba, ukikuta mkaa unafunua siti unapakiza, ukikuta mihogo twende.