Unaweza kunionesha paragraph moja au sentence moja ya kingereza ambayo ni broken kwenye post ya huyu bwana na useme alipaswa kuandika vipi
Sijaona broken English hapo nimeona tu kachanganya English na kiswahili katika namna ambayo haipendezi
Ukisema kingereza chake kina matege maana yake ni...
Wadau,
Ukoo upo kwenye vikao na maandalizi ya mwisho kabisa ya kumsafirisha baba yangu mkubwa kuja Dar kwa matibabu zaidi baada ya ugonjwa wake kushindikana katika hospital ya mkoa.
Ukoo wamepanga afikie kwangu na mimi ndie nishughulike na masuala ya Muhimbili na hiyo rufaa kwa ujumla, baba...
Kujenga ni kujinyima tu mkuu na sio utajiri, gharama za kuendesha mji ambao watu wanapishana daily gharama zake ni kubwa, ukijumlisha per annum ni pakubwa sana
Nato haijawahi kuivamia libya, enforcement of a no fly zone is not an invasion, ghadafi aliondolewa na watu wake mwenyewe baada ya kuchoka utawala wa mtu mmoja,
Madai ya kwamba walibya waliishi kama wako peponi chini ya gadafi ni exaggeration, ghadafi aliwajali watu wa ukoo wake tu
Hiyo ndio gharama ya ukombozi, wamekombolewa ipo siku itatulia na kuwa na amani, hivyo vyote ulivyovitaja sio raia wote walivipata, ni kundi la ukoo wa ghadafi ndio walifaidika
Nchi za kiarabu tunaposema neno ukoo, lina maana pana sana, uarabuni mkoa mzima kama wa pwani mnaweza kuwa wa ukoo...
Mm nimetoa first hand experience, nimeishi kwa miezi 3 mwaka 2011 nilienda kwa program ya UNFPA, hivyo mengi ya aliyosema mleta mada niliyaona, wageni wote tuishio mitaani lazima asubuhi na jioni tulipoti kwa serikali ya mtaa, achin num
Sijawahi kuzipenda nchi za magharibi, lakini siwezi...
Mm nilikwenda huko 2011 na shirika la UNFPA kama volunteer, tulipata visa Sweden ambako ndio kulikua na diplomatic mission, then tukaenda kuondokea china kwenda huko
Currency yao inaitwa won, na kiongozi msaidizi wa chama alikua kim yong nam wakati huo, ila mwenyekiti wa chama raidi wa nchi...
Hivi huu ugonjwa wa kusingizia kila kitu kuwa ni western propaganda umetoka wapi?
Hivi CCTV ya china ni media ya western?
Maana kwa macho yangu nimeona makala kwenye cctv ikieleza haya yote yaliyoelezwa na mtoa mada
Hakuna siri juu ya haya yote, yapo wazi, wakati kim jong il baba anafariki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.