Recent content by navache

  1. navache

    JamiiForums Tanzania Katika watu 20 utakao kutana nao msoga 18 wana HIV . Kuweni makini na msoga.

    Hahaha mkuu... miezi mi3, chumba no 6! Watoto wa kikwere hawakukizoea kweli hicho chumba?
  2. navache

    JamiiForums Tanzania Saa inakaribia ambapo Watanzania wote tutaongea lugha moja

    Mimi si bora zaidi ya wengine, na kamwe sitafikia hiyo sifa. CHADEMA pekee ndiyo wenye hiyo sifa. Na uhalisia wake tunauona, na tutaendelea kuuona
  3. navache

    JamiiForums Tanzania Saa inakaribia ambapo Watanzania wote tutaongea lugha moja

    Watanzania hawa hawa tunaoishi nao mitaani au hawa wanaopiga mikwara mitandaoni? Ni bahati mbaya kwamba hapajatokea wanamapinduzi wa kweli.....na usiniambie hao CHADEMA ndo mlango wa kutupeleka kwenye hiyo nchi salama., hawana sifa. "Sifa njema huanzia nyumbani "
  4. navache

    JamiiForums Tanzania Elimu yetu inabidi kutazamwa upya. Haiwezekani mtu ajiite Prof huku hajui kiingereza

    Kwamba kipimo cha kuwa profesa ni kujua kiniingereza.....wacha tuendelee kutawaliwa
  5. navache

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Defensive mechanisms 😆😆😆
  6. navache

    JamiiForums Tanzania Nimepigwa na butwaa

    Eniwei.....maza anakiwango gani cha elimu....
  7. navache

    JamiiForums Tanzania Nimepigwa na butwaa

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Shikamooo mama
  8. navache

    JamiiForums Tanzania Uislamu unakua kwa kasi sana mkoani Iringa

    Veve kwilinga uko sulakukagula ndaa
  9. navache

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Hapa ndipo Chato alikozaliwa Magufuli, watu wanamiminika kwenye mikutano ya CHADEMA kumsikiliza John Heche na viongozi wengine

    Hiyo ndiyo hoja ya msingi. Na wakitafakari usiwachukulie kama wataamua unavotaka wewe. Wataamua wanavotaka wao.
  10. navache

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Hapa ndipo Chato alikozaliwa Magufuli, watu wanamiminika kwenye mikutano ya CHADEMA kumsikiliza John Heche na viongozi wengine

    Na wewe unaamini kwamba watu wote wanaokuja kukusikiliza maana yake wote watakupigia kura ....poor me!
  11. navache

    JamiiForums Tanzania Chumbani kwangu imepotea Tsh. 60,000 na ndani tupo wawili tu

    Kumbe jibu unalo
  12. navache

    JamiiForums Tanzania Siasa za bongo ziko very predictable!

    Na kila mtu anajua kuwa mwenyeduka akisusa,.......duka linaota mabawa. Halafu yanaanza maneno "oh mangi alikuwa mchawi...ona kaondoka na duka"
  13. navache

    JamiiForums Tanzania Gharama za kufunga Drip kwa ekari (70mx70m)

    Kama ni kwa hoja hiyo sawa. Hata hivyo "reserve" iwe reserve kweli. Siyo tank la lita 10000 kwa shamba la vitunguu.....
  14. navache

    JamiiForums Tanzania Bunge la Ulaya: Tunasikitishwa na kukamatwa kwa Tundu Lissu sambamba na kuenguliwa kwa CHADEMA kwenye uchaguzi wa 2025

    Ukila cha mtu, umempa mamlaka ya kukupangia maisha yako.
Back
Top Bottom