Saa inakaribia ambapo Watanzania wote tutaongea lugha moja

Saa inakaribia ambapo Watanzania wote tutaongea lugha moja

Dua kali za kuogopa ni zile za dini ya kiislam tu, hizo nyingine sijawahi kuona matunda yake ya haraka.
Mkuu nataka kukubaliana na wewe!
Lakini kuna yule Shekhe aliyemwombea Afande Sele afe! Afande Sele Yupo.
 
Kama ni hivyo, itabidi tuanzie kwa 'navache', anayejiona yeye ni bora zaidi ya wengine wote ndani ya Tanzania hii!

Mtu mwenye akili timamu utaanzia wapi kuandika takataka kama uliyo andika hapa.
Mimi si bora zaidi ya wengine, na kamwe sitafikia hiyo sifa. CHADEMA pekee ndiyo wenye hiyo sifa. Na uhalisia wake tunauona, na tutaendelea kuuona
 
Samahani mimi naomba nitofautiane na wewe hapa,hapo ktk bold wanaoingia humo huwaambii kitu kwa huu utawala kama ni mahaba yamepitiliza wanamtaka awe hata kiongozi wa kiimla regardless jinsia yake.

Sio kweli .Kinachofanyika ni woga na kudhani kuwa uchaguzi unaweza kuwa ndio vita .

Lakini ndani ya mioyo ya watu ukiongea nao huko mitaani wanatamani hata asigombee maana wanaona yeye ndio tatizo kwa sababu anatumia nguvu kubwa .
Mfano Wakristo pamoja na wao ndio waasisi wa mifumo yote duniani ikiwa ni pamoja na mfumo wa Wanawake kuongoza na hata kuwa Wachungaji lakini hawakubali sana Wachungaji wanawake basi tu . mchungaji Mwanamke akiletwa kwenye usharika watu wananyongonyea japo hawawezi kumtoa basi tu inabidi wafanye naye kazi kishingo upande .

Kwa hiyo Huyu akija kuondoka Tanzania nchi italipuka kwa shangwe.

Kule misikitini ametoa mabilioni ya kujenga misikiti na kuwapeleka watu kuhiji ndio maana wanafurahia uwepo wake lakini ndani ya mioyo yao wanakua huyu hana uwezo na hafai kuongoza watu mil. 65.labda kiongozi wa vikoba.
 
Dua kali za kuogopa ni zile za dini ya kiislam tu, hizo nyingine sijawahi kuona matunda yake ya haraka.

Siku hizi hazina nguvu kwa sababu ya Rushwa . Dua inatakiwa iwe ya haki lakini pia dua haitakiwi umsaidie Mungu kupigana .
Binadamu wote na viumbe vyote hautakiwi ukitendee kwa dhulma.

Upinzani wa Tundu Lisu na Heche ukisimama kwenye Dua kwa Mungu Muumba CCM watakwisha maana wanasimama kwenye haki bila kukubali rushwa. Ule upinzani wa kale wa mchana wapinzani usiku wanapokea pesa za CCM na kuacha wetu wakiwa wanauawa na kuteswa kwa sasa umefikia mwisho . Mungu anasimama katika haki na kutetea tatu wake.
Wale waislam wa kusoma Dua hawapo tena wamebaki mashehe ubwabwa. Angalia Shelhe Ponda alipigwa risasi lakini Mungu amemnusuru kwa sababu hakutaka kupokea rushwa .

Yesu aliposema mtu akikupiga shavu hili la kulia mgauzie na la kushoto alimaanisha kuwa usijibizane na mwenye nguvu maana atakuua na kukatisha ndoto zako wakati Mungu aliyekuweka duniani atajibu na kusimamia kusudi lake yeye mwenyewe.
 
Mungu anampa muda wa kutubu dhambi zake yeye na watu wake,ila bado anashupaza shingo.
Aliporuhusu damu za watu zimwagike ndio ilikuwa ukomo wa toba yake. Sasa hivi yeye na Lucifer ni kitu kimoja tu.
 
Mimi si bora zaidi ya wengine, na kamwe sitafikia hiyo sifa. CHADEMA pekee ndiyo wenye hiyo sifa. Na uhalisia wake tunauona, na tutaendelea kuuona
Kwa hiyo uwezo wako ni huo wa kutambua kuwa "CHADEMA pekee ndio wenye hiyo sifa". Huu utambuzi umepewa na nani, na vigezo vyake ni nini?
Unaandika takataka hata wewe mwenyewe huwezi kuelewa unachokiandika; halafu unafikiri watu watapoteza muda wao kujibu hizo takataka?
 
Back
Top Bottom