Recent content by nautaka tena

  1. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania CHADEMA na muhuri wa damu katika Taifa lao

    None sense
  2. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania Tutakufa wote, seals kwenye chupa za maji safi zirejeshewe

    Hivi like kiji seal pamoja na Ile brand rivon kuzunguka chupa kipi kinaathari? Binafsi naona seal ni ndogo hivyo ingeachwa tu na ribon ndio ingetolewa wakatafuta namna ya label chupa bila zile nylon
  3. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

    Hapa ndio utaelewa vizur akili za vijana wa kitanzania
  4. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

    Hapa ndio utaelewa vizur akili za vijana wa kitanzania
  5. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania Have you ever seen the Secret Covenant of the New World Order? That is, what together they have done against you and plan to do against you?

    Mimi sikuwahi kumpenda Hayati Magu...lakin kwenye ishu ya korona alifanya kitu kikubwa sana kwa watz nilimuelewa navkika mwenye kuona atambue kua chanjo ya korona ni hatari kuliko tunavyofikiri...ingekua sii agenda ya maana kwao believe me Magu angelikua hai...wameshaweka watu wao tayari...
  6. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania Jaribio la kumtoa Spika Ndugai ni la hatari kuliko linavyochukuliwa

    Hivi alichokisema spika mbona kina mantinki au ni Mimi ndio sielewi mbona na Kama Mimi sielewi basi yawezekana Mimi ni mjinga sana au watanzania wengi na viongozi ni wajinga hakuna mfano. Kiukweli huwezi endesha nchi kimadeni madeni mtu anayekopa sana ni mvivu wa kufikiri... Kwakua hela ya mkopo...
  7. nautaka tena

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale wenye bahati zao waliowahi kutongozwa na wadada mje hapa

    Mimi natongozwa na watu wazima tuu. Sijui tatizo nn
  8. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania Nchi hii, kiini cha kila tatizo tulilo nalo inaonekana ni katiba mbovu; mlio kwenye system, naomba mtujuze, inabadilishwa lini?

    Hivi unadhani CCM Wana akili? Wanahisi hili linawafaisha wapinzani mwenye macho haambiwi tazama. saivi dunia imakua rahisi unaweza ishi nchi yoyote Ile usiogope
  9. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania Magereza yenye sifa mbaya zaidi duniani

    Mimi nafikiri tulekebishe Sheria zetu sio kila kosa mtu aende jela tuwape kazi za kijamii kwenye miradi ili kupunguza gharama kwa serikali ya kuwatunza na kulipa vibarua kwenye miradi
  10. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania Wizi wa kura wa mwaka 2019 na 2020 umesabisha CCM kichukiwe sana

    How on Earth you call yourself a gentleman?
  11. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania Iran: Tutazinyuka kambi zote za Israel na nchi yoyote itakayomsaidia

    Mbona us walimtwanga alipomuua yule kamanda wao so hao jamaa hawatanii
  12. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania Tuliopanga kuoa mwaka huu na tumefeli tukutane hapa

    Sasa tufanyeje jmn
  13. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

    Kati ya jiwe na lissu na mshenzi wa kauli enyi wana buku 7
  14. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu uongozi ni hekima wewe huna karama hiyo ,,,

    Jibu hoja zake sio kulia Lia. Kwahio nyie mkaona jiwe ndio anafaa[emoji23][emoji23][emoji23]
  15. nautaka tena

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanavyompaisha Zitto

    Humjui zitto wewe kaa kimya..
Back
Top Bottom