Huyo aliyetambulishwa kama Mkurugenzi len ni mdogo wake Mange wa mama mmoja,ni mbinafsi sana yule dada!a caring sister hawezi kuhatarisha usalama wa mdogo wake kwa kumuingiza kwenye deal za kuwachafua watu wakati yeye yupo mbali na hilo analionyesha kwa kuendelea kuwa bully watu wakati mdogo...
Ha ha umenikumbusha mbali eti Now Open,wewe unamfahamu vizuri inawezekana hata sigara kubwa alikua anapiga ni moja ya ma Miss sikuelewa vigezo gani vilitumika alikua mfupi na chain smoker
Unaonekana ni mbinafsi sana, ukipata mtoto unatakiwa kuacha kujifikiria wewe peke yako!you have a family now,na unavyomuelezea huyo binti na uchunguzi wako uliofanya anaonesha anakupenda! Fanya maamuzi sahihi utamkumbuka huyo dada baadae!Karma has no menu
Tujitahidi kusomesha watoto wa kike,huyu dada ni bogus kuna vitu anaongea anaonekana hajui hata madhara yake,alisema ametoa mimba ila baada ya kuambiwa unajua unaweza kufungwa?ameita interview nyingine alafu anatoa boko lingine la biashara ya mumewe,yaani huyu Mmasai anamtumia vijana wa kumhoji dk 0
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.