Heheheheee sema wapone,.lakini ungemuambia mkeo/mchumba sijui ni mpenzi wako huko nyumbani ili akuelewe vzr tena ikiwezekana siku hiyo kaa jikoni umuomeshe kuwa utam na uzuri wa chakula si mafuta hata chukuchuku na mafuta kidogo vinanoga haswaaa tena haswaaa...
Ndio mkomage na nyinyi,mkiona demu mkaaaali sijui classic mnawaamini bila kujua ni wezi hatarii kwann usijichukulie asha wako kitaa,? Kwanza hata muda na saa hana...
Si afadhali ww wadada,mm mtoto wa kike na sura yangu tamu kama yangu mwenyewe napigwa vizinga na wanaume sasa sijui ni gundu au sura ya pesa aiseee hii imenifanya nishindwe kwakweli kuwa ombaomba japo ndio tabia yangu tangu awali,na hao wanaume utakuta wana kazi zao za maana mara 100 yangu mm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.