Recent content by Nathalie Herrera

  1. Nathalie Herrera

    Nampenda Mumu

    Ila uongo mbaya huyu mdada hata mim namuelewaga pia yuko poa na nahic anajua nn anataka hongera mumu
  2. Nathalie Herrera

    Wanawake, hivi kupika vizuri lazima mjaze mafuta kibao kwenye chakula?

    Heheheheee sema wapone,.lakini ungemuambia mkeo/mchumba sijui ni mpenzi wako huko nyumbani ili akuelewe vzr tena ikiwezekana siku hiyo kaa jikoni umuomeshe kuwa utam na uzuri wa chakula si mafuta hata chukuchuku na mafuta kidogo vinanoga haswaaa tena haswaaa...
  3. Nathalie Herrera

    Today is my graduation ceremony

    Hongera,umelifanikisha.
  4. Nathalie Herrera

    Usijidanganye kuwa single huku ukijua fika hauwezi kujizuia

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]me sitaki yakukute ya muga buanaa,..niambie tafadhali,[emoji4]
  5. Nathalie Herrera

    Nikupe pesa au nikufikishe kileleni?

    Nipe pesa mie, kileleni hata kwa miguu ntafika...
  6. Nathalie Herrera

    Wakina dada acheni wizi mkikaribishwa majumbani kwetu

    Ndio mkomage na nyinyi,mkiona demu mkaaaali sijui classic mnawaamini bila kujua ni wezi hatarii kwann usijichukulie asha wako kitaa,? Kwanza hata muda na saa hana...
  7. Nathalie Herrera

    Naomba buku moja

    Una buku ya "karibu" hapo mkuu!??
  8. Nathalie Herrera

    Kila msichana ninaemtongoza ananiomba hela, whats this?

    Si afadhali ww wadada,mm mtoto wa kike na sura yangu tamu kama yangu mwenyewe napigwa vizinga na wanaume sasa sijui ni gundu au sura ya pesa aiseee hii imenifanya nishindwe kwakweli kuwa ombaomba japo ndio tabia yangu tangu awali,na hao wanaume utakuta wana kazi zao za maana mara 100 yangu mm...
Back
Top Bottom