Darubini1
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 393
- 430
Pesa ukose, hata ulimi laini nao ukose!??
Fact ni unless upo kwenye FORBES huko sisi wengine wote hatuna pesa.
Vipo vingi;hivi asiye na kitu hatakiwi kupenda au kupendwa?
Na wewe mwanamke unanipenda eti kisa nina kitu?
BTW, kipi humfanya mtu kumpenda mtu?