Nakumbuka mara ya kwanza baada ya kumaliza form six niliilaza kutumia jami forums.
Post yangu ya kwanza ilikuwa ni kuomba ushauri kozi nzuri ya kusoma.
Nilibahatika kupata ushauri wa kutosha na baadhi ya marafiki nikawapata humu kama
Jonatus na
Avatar mok.
Honestly i enjoyed collage life and i made alot of fursa when i was there.
Japokuwa nimekutana na misukosuko ya kutosha kama mnavojua maisha ya chuo niliweza kupambana mpaka nikakamilisha kilichonipeleka.
Naishukuru sana jamii forms members bila kusahau HESLB kwa kufanya maisha yangu yawe ya furaha.
Kama upo maeneo ya dodoma karibu sana ukumbi wa polisi jamii saa kumi kamili jioni.
NB. Msisahau kuja na zawadi.