lewis acid
Member
- Mar 21, 2017
- 57
- 120
Jamani kuna jambo linanikera kwelikweli,
Kuna kasumba imeota mizizi kwa sasa, sijui niseme wanawake hawajui kupika au wanadhani wanaume tunapenda mafuta sana.
Hii tabia ya kumwaga mafuta kwenye chakula ni tabia ya hovyo mno, mtu unatoka mishe mishe una njaa unafika home unajisemea kimoyo chakula kije haraka nina njaa, hicho chakula kikiletwa ukitia mkono tu kama ni mboga basi mafuta yanang'aa yamewekwa kibao.
Hivi mnataka kukomoa mtu kupitia bajeti ya kununua mafuta au mnataka kukomoa mtu kiafya? Kwa nyie wanawake mnaoamini kwamba mapishi mazuri ni lazima mafuta yawe kibao mtatuua kwa magonjwa nawambia.
Takwimu za watu wenye pressure na kisukari zimeongezeka, fanyeni research ndogo tu mtaani kwenu mnapokaa mtakubaliana na mimi.
Upishi mbaya ni kuangamiza afya ya mwanaume na familia pia, kibaya zaidi ni kwamba baada ya muda mwanaume anaweza kubaki mwanaume jina tu. (Mnielewe vizuri hapa).
Hebu badilikeni.
UPDATES;
Naona mnatoa povu wanawake na baadhi ya wanaume, ila hili suala sio kwangu tu, watu wengi mnakula misosi ya hovyo siku hizi.
Mimi siishi kisiwani, nina marafiki, nina ndugu na jamaa, katika tour za mara moja moja nimebaini mapishi ya nyumbani kwangu na huko kwingine matumizi ya mafuta yamefanana.
Nyie mnao ni attack endeleeni ila ujumbe mmeupata, lengo mbadilike, mke wangu nimeshazungumza nae sasa nazungumza na nyinyi msiokua wake zangu, nyie ni shemeji zangu huu ujumbe uchukueni, mtatuua hata kama hampendi kuambiwa ukweli ndio nawambia sasa.
Povu ruksa.
Kuna kasumba imeota mizizi kwa sasa, sijui niseme wanawake hawajui kupika au wanadhani wanaume tunapenda mafuta sana.
Hii tabia ya kumwaga mafuta kwenye chakula ni tabia ya hovyo mno, mtu unatoka mishe mishe una njaa unafika home unajisemea kimoyo chakula kije haraka nina njaa, hicho chakula kikiletwa ukitia mkono tu kama ni mboga basi mafuta yanang'aa yamewekwa kibao.
Hivi mnataka kukomoa mtu kupitia bajeti ya kununua mafuta au mnataka kukomoa mtu kiafya? Kwa nyie wanawake mnaoamini kwamba mapishi mazuri ni lazima mafuta yawe kibao mtatuua kwa magonjwa nawambia.
Takwimu za watu wenye pressure na kisukari zimeongezeka, fanyeni research ndogo tu mtaani kwenu mnapokaa mtakubaliana na mimi.
Upishi mbaya ni kuangamiza afya ya mwanaume na familia pia, kibaya zaidi ni kwamba baada ya muda mwanaume anaweza kubaki mwanaume jina tu. (Mnielewe vizuri hapa).
Hebu badilikeni.
UPDATES;
Naona mnatoa povu wanawake na baadhi ya wanaume, ila hili suala sio kwangu tu, watu wengi mnakula misosi ya hovyo siku hizi.
Mimi siishi kisiwani, nina marafiki, nina ndugu na jamaa, katika tour za mara moja moja nimebaini mapishi ya nyumbani kwangu na huko kwingine matumizi ya mafuta yamefanana.
Nyie mnao ni attack endeleeni ila ujumbe mmeupata, lengo mbadilike, mke wangu nimeshazungumza nae sasa nazungumza na nyinyi msiokua wake zangu, nyie ni shemeji zangu huu ujumbe uchukueni, mtatuua hata kama hampendi kuambiwa ukweli ndio nawambia sasa.
Povu ruksa.