Honestly nashindwa kumuelewa kijana wa kitanzania alienda shule anaeshabikia ccm, napata wakati mgumu sana kumuelewa ,ajira hakuna ,bei juu za bidhaa ,mikopo elimu ya juu shda ,nenda vijijini ukaone hali halisi ya Tanzania inasikitisha ,watoto wanakaa chini hamna madawati wakati nchi hii imejaa...
Movement za chama ndo zinafanya mtu kuwa maarufu ,ccm inawabunge kalibu mala tatu ya wabunge wa chadema ,lakini leo nenda ata mtaani uliza watu wakutajie wabunge wa bunge la Tanzania basi kati ya kumi utakao tajiwa nane lazma wawe wa chadema .so wanaosema zito ni maarufu zaid ya chadema honestly...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.