Picha kalenga: CHADEMA yazidi kuipoteza CCM

Picha kalenga: CHADEMA yazidi kuipoteza CCM

Huyu mama ngoja avae masuruali lakini cha moto atakipata wala hatasahau kwenye maisha yake moto utakao waka.

Huyo kamanda Grace anasubiri kuapishwa tu.

Halafu hebu weka siasa pembeni unitafute kule PM mpenzi.
 
Chagadema mmevurugwa! we unaleta picha ndio unadhani ni ushindi! Subiri kifo chenu ndani ya balot box.
 
Mbowe ni muhuni, sijui hilo tendegu limemuhonga nini kupewa nafasi ya kugombea!
 
Mh. Mgimwa kajibu Propaganda zenu kwa hoja leo mnasema ana lia lia kwenye Media Uongo wenu umesambaratishwa kwa hoja sio matusi? Tarehe 28th February,Naibu Katibu Mkuu, Mpambanaji na Gwiji la Siasa hapa Nchini Ndg Mwigulu Lameck Nchemba Mtetezi wa Wanyonge aliezamisha Kamati ya Kina Mbowe ya kudai nyongeza za Posho anakuja kuleta Zilzala katika Mji na Viunga vya Mkoa wa Iringa kuzindua kampeni za Mbunge Mteule. Kazi ya CCM ni kuteua Mbunge Mteule, Yenu ni kuteua Mshiriki wa Uchaguzi. Endeleeni kuishi kwa Matumaini ila Lazima Mshughulikiwe kikamilifu kwenye Sanduku la Kura.

Miaka 50 ya Uhuru Kalenga hakuna maji safi, elimu duni, afya mgogoro
 
mh mume wako akipita hapa lazima akate tama mana ulivyomsifia mwanaume mwenzie ni balaa. atajihis hana chake kabisa.. cc Juliana Shonza.

Kwa hiyo wewe Mkeo huona kawaida ukiwa unawasifia watu wa jinsia yako ( Wanaume wenzio). anzisheni M4C ya kutetea haki zenu.
 
Mh! Pamoja na hayo mpaka nione wameshinda ndio nitaamini ila kwa hizi kampeni bado. Hawa watu ni wauaji wa kimyakimya.

Ndo waliomwua Mgimwa kisha wakampa mwanae pole ya kuteuliwa.
 
Huyo kamanda Grace anasubiri kuapishwa tu.

Halafu hebu weka siasa pembeni unitafute kule PM mpenzi.

Labda 'akaapishwe' na Mbowe kule Dubai, ila safari hii atumie Mapato ya Club bilicanaz sio kodi za walalahoi.
 
Ndo waliomwua Mgimwa kisha wakampa mwanae pole ya kuteuliwa.

halafu hili linasemwa sana hapa kalenga, kuwa mgimwa aliuliwa kama alivyotaja kuuliwa mwakyembe anahuyu mtoto anapewa ubunge afunge mdomo... kama akina kigoma malima
 
Hai na Karatu umeshawahi kufika au wanakuhadithia tu akina Mukya na Mushumbus?

naona unatamani ungekuwa josephine ili ugegedwe na Dr Slaa au ungekuwa mukya iliugegedwe na Mbowe...peleka maombi ukashughulikiwe au uje kwangu nikurushie maji...
 
Mh. Mgimwa kajibu Propaganda zenu kwa hoja leo mnasema ana lia lia kwenye Media Uongo wenu umesambaratishwa kwa hoja sio matusi? Tarehe 28th February,Naibu Katibu Mkuu, Mpambanaji na Gwiji la Siasa hapa Nchini Ndg Mwigulu Lameck Nchemba Mtetezi wa Wanyonge aliezamisha Kamati ya Kina Mbowe ya kudai nyongeza za Posho anakuja kuleta Zilzala katika Mji na Viunga vya Mkoa wa Iringa kuzindua kampeni za Mbunge Mteule. Kazi ya CCM ni kuteua Mbunge Mteule, Yenu ni kuteua Mshiriki wa Uchaguzi. Endeleeni kuishi kwa Matumaini ila Lazima Mshughulikiwe kikamilifu kwenye Sanduku la Kura.

Ningekuwa wewe ningehariri kwanza hiyo quote ya Mugabe kabla sijatapika hayo mengine.
 
halafu hili linasemwa sana hapa kalenga, kuwa mgimwa aliuliwa kama alivyotaja kuuliwa mwakyembe anahuyu mtoto anapewa ubunge afunge mdomo... kama akina kigoma malima
Umesema nililotaka kusema.
 
Back
Top Bottom