Recent content by Nasoro Namuchi

  1. N

    Nimekutana na X wangu Beatha, nimelia sana!

    Duuuh ww jinsia yake 😂😂😂😂😂
  2. N

    Naomba kujua Bodi ya Mikopo wanatoa Batch 4 lini?

    Duuh poleni wakuu, nimepitia hayo kwa kwel inauma
  3. N

    Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu

    Kibongo bongo xhda sana aisee..unaweza kukosa raha ya kuishi na ukajilaumu au kujutia kwa nin ulizaliwa.
  4. N

    Ubovu wa product ya Mo ukwaju

    Duuh me sina point ila inawezekana kweli anaiga.
  5. N

    Tuliokosa mkopo awamu ya kwanza na ya pili wenzangu mnajiskiaje

    Duuh mungu akujalie ndgu.. tumuombe mungu kwa awamu zijazo.
  6. N

    Kuhusu batch ya pili HESLB

    Siku ijaisha mkuu endelea kuwait.
  7. N

    Kwenye list ya wanufaika jina lipo ila kwenye account amekosa mkopo

    Uhakiki unaendelea mkuu hapo juu..analysis on progress
  8. N

    Msaada tafadhali nimepoteza vyeti

    Kapate lose report kwanza, utapewa utaratibu police.
  9. N

    MAISHA ILI UFANIKIWE.

    ndgu wana jf....sijafanikiwa ila naamini nitafanikiwa si muda mwingi. Kwa walofanikiwa kwa kiasi, munatupa ushauri gani ili ufanikiwe? au nin unapaswa kufanya ili kutimiza malengo yako ya maisha? NAKALIBISHA MAONI ILI NIYAFANYIE KAZI.
  10. N

    Sina bahati au ninagundu?

    Asante sana mungu mwema.
  11. N

    Sina bahati au ninagundu?

    Ndugu wana JF, Nimeomba mkopo elimu ya juu mwaka wa pili ila nimekosa. Na nilisoma private advanced level. Je? kuna msaada ambao naweza upata ili nipate mkopo? Kama utakuwepo naomba msaada namba 0784735106.
Back
Top Bottom