ndgu wana jf....sijafanikiwa ila naamini nitafanikiwa si muda mwingi. Kwa walofanikiwa kwa kiasi, munatupa ushauri gani ili ufanikiwe? au nin unapaswa kufanya ili kutimiza malengo yako ya maisha? NAKALIBISHA MAONI ILI NIYAFANYIE KAZI.
Ndugu wana JF,
Nimeomba mkopo elimu ya juu mwaka wa pili ila nimekosa.
Na nilisoma private advanced level. Je? kuna msaada ambao naweza upata ili nipate mkopo?
Kama utakuwepo naomba msaada namba 0784735106.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.