Kwanza pole sana,Ni chuo mkuu
Duuuh sio mchezo!?Nakumbuka niliwahi kumuachia mwanasheria vyeti vyangu vyote pamoja na copy zake zote akaenda nazo mjini ili apige mhuri, ilikuwa n kazi ya siku moja tuu lkn ad tumbo la kuhara lilinipata nikijiuliza n kwann sijampa copy tuu