Northern Eagle
Member
- Dec 9, 2018
- 66
- 52
Wakuu, ni wazi kwamba wapo wanafunzi wengi ambao walitarajia kujiunga na masomo ya elimu ya juu mwaka huu ila wameshindwa kutokana na kukosa mkopo kutoka HESLB na pia kutokuwa na uwezo wa kujisomesha. Naamini hapa JF kuna watu wenye uwezo ambao wana uwezo wa kuwasaidia hawa vijana waweze kutimiza ndoto zao hata kama ni kwa masharti maalumu.
Kama wapo wajitokeze ili waweze kuwasaidia maana nimeona humu nyuzi nyingi vijana wakilalamikia kukosa mikopo kutoka HESLB na hawana uwezo wa kujisomesha.
Kama wapo wajitokeze ili waweze kuwasaidia maana nimeona humu nyuzi nyingi vijana wakilalamikia kukosa mikopo kutoka HESLB na hawana uwezo wa kujisomesha.