King snr
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 1,165
- 1,461
Binafsi sikuwa na maandalizi mengine yoyote ya kupata tuition fees nilikuwa nategemea Bodi ya Mikopo tu. Nimejitahidi kutafuta direct cost nimepata kwa tabu sana. Sasa Bodi ya Mikopo wametoa batches mbili zote nimekosa mkopo nahisi kukata tamaa ya kwenda Chuo mwaka huu sijui wenzangu mliokosa mnajiskiaje sijui tatizo ni kozi niliyochagua au ni bahati ndiyo haijawa upande wangu.