Mbona Jacklin mengi faraja nyarandu Nance summary wanamaumbo mazuri na wamedumu kwenye ndoa hata huku mtaani kwetu kuna wamama na wadada wazuri wameolewa siku nyingi na wapo kwenye ndoa zao hadi Leo huo utafiti wako sijauelewa umeufanyie kijiji kipi
Mpe elimu kwaajili ya mtoto wako mpe elimu huku ukijiwekea garantee ya kuwa mwanao au watoto wako hawatakuja kuishi kwa shida as longer as mama yao atakuwa na elimu nzuri na kazi hilo la kuachana ni mipango ya mungu Kama anakupenda hatokuja kukuacha kamwe na dini atabadilisha iz just a matter of...
Haha mm ndo ningekuwa huyo mwanamke isingeniuma kbsa kuachana na mwanaume Kama Ww coz we all know kila mtu ana past yake iweje ww uje umuhukumu mtu kisa past ya maisha yake hajakukosea chochote huyo Dada hao ni ma X na enzi hizo hukuwepo kwenye maisha yake ndo maana akatembea nao unawivu mbaya...
Mwanamke yyt anayetoa harufu ni mgonjwa anaumwa fangas sugu alafu yy hajielewi jaman wanawake wote mliowahi kukutwa na hii dhahma ya mnuko wa K nenden hospital mkatibiwe wala msijione eti nyie mliumbwa hivyo K zenu zinanuka msijisikie vbaya mkakata tamaa nyie ni wagonjwa msiojua Kama mnaumwa so...
Khaaaaa wanawake cjui tunatakaga nn jmn yani huyu kila kitu anapewa na kufanyiwa lkn bado tu hajalidhika kuna kitu kinamuuma eti kwann havai khanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.